badsangu
Member
- Nov 1, 2017
- 67
- 28
Ndugu na jamaa zangu polen na kazi naomba,samahan juuzi nikitumiwa sms na kampuni ya voda kuwa nimepewa ofa ya kutumia vufurushi vya chuo nikiwa sehem yoyote japokuwa sijajisajili na hiyo huduma na kwa msisitizo wameniambia hiyo ni ofa ambayo nimepewa mm tu.Sasa cha kushangaza kila nikijaribu kujiunga na menyu yao ambayo wamenitumia kabsa *149*42# lakin kila nikijaribu kujiunga inaniletea kabsa list ya vufurushi vyote vya chuo mwishon nikikamilisha kujiunga naambiwa huduma hii haipatikan kwa sasa jaribu tena badaye hiyo ilikuwa juzi leo napo wamenitumia sms nimejaribu kujiunga hali ni ile.kwa wajuuzi naomba kujuzwa nini tatizo? Mchango wako ni muhimu sana