Wakuu naomba msaada wapi nitapata vifungashio ninavoweza kupack dagaa kutoka Tanga dagaa uono, wana dar huita dagaa mchele, watu wa bara dagaa nyama waliochemshwa ndipo wakakaushwa... Wapi hapa dar nitapata kwa bei ya jumla?? Visiwe vifuko vile vya nailoni...