VIFUNGASHIO BORA VYA BIDHAA ZA MADUKANI (SIMPLE COMMODITIES)

VIFUNGASHIO BORA VYA BIDHAA ZA MADUKANI (SIMPLE COMMODITIES)

Mbabejr

Member
Joined
Dec 10, 2018
Posts
27
Reaction score
9
Habari wana jf.
Je unahitaji kifungashio bora cha bidhaa za mteja wako? Usihofu kuhusu hilo Mimi nimuuzaji na msambazaji (home/site delivery) wa vifungashio bora kabisa vilivyotengenezwa kwa manira sheets. Bei yake ni nafuu sana, ( Tsh 100 kwa 200 kulingana na size ya kifungashio.
Nipigie popote ulipo DSM kwa namba 0620782162 au whatsap namba 0656074370
IMG_20190726_163526_8.jpeg
IMG_20190726_163444_5.jpeg
IMG_20190726_163357_5.jpeg
IMG_20190726_163516_3.jpeg
 
Nyie ni wajinga sana..hivyo vifungashio unauza Tsh.100 kwa Tsh.200 kweli!?? Yaani watanzania watu wa ajabu sana,hayo makaratasi ya kubebea cement ww umeingia gharama gani uuze hiyo bei!?? Mifuko ya plastick ile laini tulikuwa tunanunua Tsh.600 pakti yenye mifuko 50. Ina maana kila 1pc ni Tsh.12. na hii ndo ilikuwa na gharama. Leo mnakomoa watu kwa sababu ya tamaa ubunifu wenyewe sifuri kabisaa! Hayo makaratasi utabebea nyama!??
 
Nyie ni wajinga sana..hivyo vifungashio unauza Tsh.100 kwa Tsh.200 kweli!?? Yaani watanzania watu wa ajabu sana,hayo makaratasi ya kubebea cement ww umeingia gharama gani uuze hiyo bei!?? Mifuko ya plastick ile laini tulikuwa tunanunua Tsh.600 pakti yenye mifuko 50. Ina maana kila 1pc ni Tsh.12. na hii ndo ilikuwa na gharama. Leo mnakomoa watu kwa sababu ya tamaa ubunifu wenyewe sifuri kabisaa! Hayo makaratasi utabebea nyama!??
NB: 1-hiyo sio mifuko ya cement ni karatasi kama zilivyo karatasi za bahasha
2-siyo lazima kifungashio kikidhi matumizi ya Kila bidhaa hiyo inafaa kwa non liquid COMMODITIES
 
Back
Top Bottom