Vifaranga kuku wa kienyeji

Vifaranga kuku wa kienyeji

amkawewe

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
2,021
Reaction score
528
Habari wana Biz,

Naomba kujua ni wapi Dar ninaweza kupata vifaranga wa kuku wa kienyeji kama 30 hivi. Nijulishe na bei yao please
 
Wapigie JB farm, Wapo kibaha kwa Matias. Hawa wana vifaranga chotara ambao wanakuwa wanaishi maisha ya kuku wa kienyeji, na wanataga mfululizo. Wapigie 0713775666
 
Wapigie JB farm, Wapo kibaha kwa Matias. Hawa wana vifaranga chotara ambao wanakuwa wanaishi maisha ya kuku wa kienyeji, na wanataga mfululizo. Wapigie 0713775666

Asante sana. Bei yao ikoje ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom