amina paggy
Member
- Jul 14, 2013
- 37
- 1
vifaa vya salon vinauzwa,dryer 3 kila moja sh laki moja na nusu,wasiliana nami 0657690970,vipo maeneo ya tabata bima
Kwa nini usiseme kifaa? Owk, hebu nimcheck nyumba ndogo kwanza. Akiridhia ntakutafuta.vifaa vya salon vinauzwa,dryer 3 kila moja sh laki moja na nusu,wasiliana nami 0657690970,vipo maeneo ya tabata bima
sijui ulisoma kiswahili wapi?ningekuwa nauza dryer moja ningesema kifaa lakini kwa kuwa zipo 3 nimesema vifaa,usichangie kitu bila kuwa na unafahamu wa kutosha .Kwa nini usiseme kifaa? Owk, hebu nimcheck nyumba ndogo kwanza. Akiridhia ntakutafuta.