Labda alitaka kuandika 1500Mkuu tudude cha sh 3000/= wewe unataka kutupiga 15K!!???
Hahaha...kila mtu mchuuziMkuu tudude cha sh 3000/= wewe unataka kutupiga 15K!!???
Kisu kimenilea.
Nikitaka kukata tena nirejee kwenye kisu
Hakuna namna unaweza kukwepa kukitumia.15!!! Duh... Kinatoa na samaki chenyewe ama kidude tu????
Samahani mkuu umekosea.ulitaka kuandika bei tshs1500/=.kifaa cha kupaa samaki. Usisumbuke tena kapaa samaki wako kwa kutumia kisu na kukupotezea muda wa kupika. bei 15,000..piga 0718520552..Tupo Magomeni-dar..mkoani tunatuma
Nishauza si chini ya kumi mpaka muda huu navyokoment hapa,,,,mara nyingi mnao diss sio wahitaji,,si ajabu ata kupika hupiki ila maneno mengiMkuu awamu hii watu hawapendi mchezo mchezo, hiyo bei unaweza kujikuta usipate mteja hata mmoja.
15,000Samahani mkuu umekosea.ulitaka kuandika bei tshs1500/=.
JPM Alishakataza mambo ya udalali.. tufanye kazi jamani lasivyo Pesa tutaisikia kwenye Bomba tu!!!!![/QUOT
Endelea hivo hivo kweli utaendelea kuisikia kwenye mitambo
elf kumi na tano....andika hiyo bei kwa maneno....
hahaha hao wanakula kwa wachoma chips hawajui vifaa vya jikoniHivi ni kweli hela imekuwa ngumu au watu mmekuwa makini tu na matumizi????
Watu wamekuwa wachaga automatically, hahaaaaaa