Je ndugu zangu mnafahamu madalali wa vifaa vya Hospitali Tanzania? Nina mzigo mkubwa natafuta madalali wa kufanya nao business. Kama kuna watu wanafanya sales kwenye kampuni kubwa au wana nunua vifaa kwa jumla nipeni link au email.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.