Vifaa vya Chips vinauzwa

Vifaa vya Chips vinauzwa

Ahsanteni wadau. Naona tu.mmeandika mengi kujitahidi kupush uzi uwe mrefu kama wa mapenzi! Mara zote wenye maneno jamvini hamnagana la maana in terms of actions. Kati yenu nyote hapo hakuna mnunuzi kazi umbea kujionesha mnajuua. Ndo maana sikuweka unigate PM wala nini maana nawajua nyie wapenda sifa mngemwagika kibao. Kwa namba ya cm nimewaweza coz mpaka inapiga lazima uwe serious. On top of that poleni kwa muda mlioupoteza. Waliokuwa serious wamejitokeza na tushaclose deal mzigo wote ulinunuliwa jana. Mimi mwenyewe mwenye biashara nimemaliza sasa nyie washadadiaji nawaachia uzi muendelee kupeana umbe watoto wa kike. Kazi kwenu
 
Habari wadau,

Nauza vifaa vya kupikia na kuuzia chips. Viko complete unaweza kuendelea kutumia.

Majiko mawili (la kuchemshia na la kukaangia/kuchoma mishkaki), aluminium show case (size ya kati), karai na frying pans, meza ya mbao, viti 4 vya plastic na meza ya plastic kwa ajili ya wateja na vifaa vibgine vidogo vidogo. Pia kuna makreti ya soda na bia.

Bei nzuri. Nicheki 0712016405

Mimi navitaka nitakupigia leo saa 8 mchana
 
Mbona unakuwa mkali ndugu yangu biashara haitaki ukali wewe mueleweshe kwani wengine kuelewa ni kazi kubwa sana msaidie kiupole na kiutaratibu tu atakuelewa
hata nikikujibu hayo sitawaridhisha wote. If u r serious with the business chukua namba piga uliza unachotaka, ukitaka picha utatumiwa whatsapp, hujaridhika njoo na watu wako. Hio sio thread ya mapenzi kwamba lazima tujibizane zifike page 20! Ningekuwa naweza kujibu maswali yenu yote basi nisingeweka namba ya simu na bei tunge bargain hapa hapa. U guys sijui mkoje. Hebu tofautishen vitu serious na mada za makopa na zile za mmu bhana
 
Mbona unakuwa mkali ndugu yangu biashara haitaki ukali wewe mueleweshe kwani wengine kuelewa ni kazi kubwa sana msaidie kiupole na kiutaratibu tu atakuelewa

Naona unazidi kurefusha uzi binti! Mashost zako watakuja muda sio mrefu mliendeleze. Mwenye mali nshamaliza biashara
 
Aisee una tatizo ndugu yangu inabidi ubadilike maana kwa mtindo huu utaweza kufika mbali

by the way nilikuwa nakusaidia tu maana biashara haziko hivyo ndugu yangu usiwe mtoaukali kwa
mtu usiyemuona hahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
naona unazidi kurefusha uzi binti! Mashost zako watakuja muda sio mrefu mliendeleze. Mwenye mali nshamaliza biashara
 
Aisee una tatizo ndugu yangu inabidi ubadilike maana kwa mtindo huu utaweza kufika mbali

by the way nilikuwa nakusaidia tu maana biashara haziko hivyo ndugu yangu usiwe mtoaukali kwa
mtu usiyemuona hahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Ila ujumbe umeupata. Ushakuwa mkubwa badilika
 
Aisee una tatizo ndugu yangu inabidi ubadilike maana kwa mtindo huu utaweza kufika mbali

by the way nilikuwa nakusaidia tu maana biashara haziko hivyo ndugu yangu usiwe mtoaukali kwa
mtu usiyemuona hahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Watu wa hivyo ni shida sana, pole dada yangu kwa kujaribu kumwelewesha lakini bado msaada wako kwake ni tatizo lingine jipya!

Pengini ndio kwanini Tanzania tupo hapa tulipo
 
Kuna mdada anauza nguo nzuri sana, ila hawekagi kabisa bei,wala hasemi alipo yani hata ukiuliza duka lipo wapi anajibu njoo whatsapp....huwa najiuliza sasa kama biashara yake ni siri kwanini anatangaza au anaenjoy kupata msg 100 whatsapp zote zinauliza bei teh

Hili ni tatizo kubwa sana kwa watanzania wengi kuliko tunavodhani. Kauli za kibiashara wengi hawana halafu kila siku ni kulalamika tu ohh wateja hakuna mara vile kumbe wao wenyewe ndio tatizo. Samtaims najiuliza hivi shida iko wapi,ni elimu duni, uwezo binafsi, mfumo au nini hasa maana hata ukienda kwenye biashara za watanzania huduma bado mbaya.
Hapa lazima tuangalie kwa undani sana, maana haya majibu yapo kwenye maduka yetu, migahawa, usafiri nk.
 
nimekwisha poa besti achana naye huyo hivyo alivyo ndivyo alivyo huwezikumbadillisha kamwe

sijui kama ataweza kuendelea kwa mitindo huo
Watu wa hivyo ni shida sana, pole dada yangu kwa kujaribu kumwelewesha lakini bado msaada wako kwake ni tatizo lingine jipya!

Pengini ndio kwanini Tanzania tupo hapa tulipo
 
Hata nikikujibu hayo sitawaridhisha wote. If u r serious with the business chukua namba piga uliza unachotaka, ukitaka picha utatumiwa whatsapp, hujaridhika njoo na watu wako. Hio sio thread ya mapenzi kwamba lazima tujibizane zifike page 20! Ningekuwa naweza kujibu maswali yenu yote basi nisingeweka namba ya simu na bei tunge bargain hapa hapa. U guys sijui mkoje. Hebu tofautishen vitu serious na mada za makopa na zile za MMU bhana
aisee mkuu upo makini na unajua unachofanya na hubabaishwi na mtu, upo straight to business hakuna blah blah, hawa wadada na baadhi ya wakaka tatizo wanapenda chombeza sana....wenzetu walioendelea hawana chombeza isiyo na ulazima ni business tu
 
Back
Top Bottom