Serikali inajitapa kuwa inajenga barabara wakati Hospitali haina Vifaa tiba
Kama watanzania wagonjwa wakifa kwa kukosa vifaa tiba na dawa.
Serikali imeacha mafisadi wakitamba na hela South Africa -Shombo na Swiss, Jerser
Sasa hizo barabara wanajengewa wanyama ama Watanzania.
Kama Hospitali hazina vifaa tiba, je hata wakileta madokta kutoka cuba ama South Africa, Vifaa Tiba vipo wapi??
Watanzania tuamke jamani, wabunge wanajiongezea mishahara na posho
mafisadi wanaachwa wanatafuna rasilimali za nchi, walimu na madokta wanateswa
MaHakama itaweza kurudisha motivation ya Kazi?
Kama watanzania wagonjwa wakifa kwa kukosa vifaa tiba na dawa.
Serikali imeacha mafisadi wakitamba na hela South Africa -Shombo na Swiss, Jerser
Sasa hizo barabara wanajengewa wanyama ama Watanzania.
Kama Hospitali hazina vifaa tiba, je hata wakileta madokta kutoka cuba ama South Africa, Vifaa Tiba vipo wapi??
Watanzania tuamke jamani, wabunge wanajiongezea mishahara na posho
mafisadi wanaachwa wanatafuna rasilimali za nchi, walimu na madokta wanateswa
MaHakama itaweza kurudisha motivation ya Kazi?