Hiyo ni simple herpas. Virus hivyo vipo tu mwilini tu, huibuka pale kinga inaposhuka! So mecheck malaria au infection zingine zinazopelekea kushake kinga yake!
Ni virus havina tiba, hizo sores hukauka zenyewe.
Nashukuru kwa maelekezo yenu, ila kwa anayefahamu Pharmacy inayouza hiyo Antiviral Cream 'zovirax' hapa Arusha anijuze. Asantendio kama alivyosema mkuu hapo juu hiyo ni herpes simplex, huisha yenyewe sio lazima sana kuitibu, ila ukitaka kuzuia isijuridie rudie mpake antiviral cream kama "zovirax" pale tu akianza kujikuna (kabla ya vipele kujitokeza)
Hiyo dawa inapatikana pharmacy zote tu. Zingatia lishe ya huyo kijana. Apate matunda ya kutosha na juisi kadri inavyowezekana. In my view, hahitaji soda kabisaa, badala yake apate natural fresh juice na vegetables. Alale muda wa kutosha na jaribu kuangalia kama ana stress.
Nashukuru kwa maelekezo yenu pia suala la matunda nitalizingatia ila la stress hana kwani ni binti wa miaka 13 and was so charming.Asanteni sana.
Wana jf nina mwanangu ana tatizo la kutokwa na vidonda vya homa ya usiku katika mdomo wa juu(mouth upper lip), japo hujitokeza kwa muda ila hujirudia baada ya muda mrefu. Kwa aneyefahamu anisaidie tiba ya kudumu.