elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
jana nilikuwa nikiangalia kipindi flan clouds tv wakionesha msanii flan akitengeneza video ya wimbo wake.
Nilicho gundua ni siri ya kwanini video za bongo ni mbaya.
Kwanza wanakuwa hawaja jiandaa. Ideas wanazpatia location na wanakuwa hawakufanya mazoez ya kitu watakacho enda kufanya.
Pili washiriki wa hiyo video wanaitwa tu njooni nafanya video mnipe kampani hivyo basi kila mtu anavaa apendavyo ili mradi aonekane atakavyo.
Na tatu washiriki wengine wana chukuliwa tu hapo hapo location kati ya wale wanao shangaa shangaa.
Nne wengi wa ma producer na ma director hawakusoma kazi wanafanya vitu kwa mazoea.
Tano vifaa wanavyo tumia ni duni.
KWA MWENDO HUU BADO SANA
Nilicho gundua ni siri ya kwanini video za bongo ni mbaya.
Kwanza wanakuwa hawaja jiandaa. Ideas wanazpatia location na wanakuwa hawakufanya mazoez ya kitu watakacho enda kufanya.
Pili washiriki wa hiyo video wanaitwa tu njooni nafanya video mnipe kampani hivyo basi kila mtu anavaa apendavyo ili mradi aonekane atakavyo.
Na tatu washiriki wengine wana chukuliwa tu hapo hapo location kati ya wale wanao shangaa shangaa.
Nne wengi wa ma producer na ma director hawakusoma kazi wanafanya vitu kwa mazoea.
Tano vifaa wanavyo tumia ni duni.
KWA MWENDO HUU BADO SANA