Video za kibongo

elmagnifico

JF-Expert Member
Jul 7, 2011
8,260
9,704
jana nilikuwa nikiangalia kipindi flan clouds tv wakionesha msanii flan akitengeneza video ya wimbo wake.
Nilicho gundua ni siri ya kwanini video za bongo ni mbaya.
Kwanza wanakuwa hawaja jiandaa. Ideas wanazpatia location na wanakuwa hawakufanya mazoez ya kitu watakacho enda kufanya.
Pili washiriki wa hiyo video wanaitwa tu njooni nafanya video mnipe kampani hivyo basi kila mtu anavaa apendavyo ili mradi aonekane atakavyo.
Na tatu washiriki wengine wana chukuliwa tu hapo hapo location kati ya wale wanao shangaa shangaa.
Nne wengi wa ma producer na ma director hawakusoma kazi wanafanya vitu kwa mazoea.
Tano vifaa wanavyo tumia ni duni.
KWA MWENDO HUU BADO SANA
 
hahhaaaaaaaaaaaa ndio waliona hilo leo jamani.......
:focus: yani sisi bado sana yani mnoooooo mana sisi tunawachukua watu kwa usuperstar wake na kumuweka ktk video yako au movie bila kuangalia kipaji bali unaangalia kwakua watu wanamjua sana ivo nitauza na wakati wenzetu wanaaangali vipaji huku hata kama we ni superstar huku huna kipaji hujachukuliwa popote kucheza movie ya mtu
labda uchukuliwe kama wale washangaaji tu na pia hua wanalipwa pesa ndefu pia ........sio tz ukimuita mtu kua njoo hata kama humlipi mradi anaonekana ktk tv basi yy hajali mda atakaopoteza na ww location......kingine kwa sababu ya ushamba hata usipowaita ukisimama tu na kuanza kushoot wanakuja watu wanajazana kibao so huna haja ya kuwaita mana hua wanakuja wenyewe kushangaaa
 
hahhaaaaaaaaaaaa ndio waliona hilo leo jamani.......
:focus: yani sisi bado sana yani mnoooooo mana sisi tunawachukua watu kwa usuperstar wake na kumuweka ktk video yako au movie bila kuangalia kipaji bali unaangalia kwakua watu wanamjua sana ivo nitauza na wakati wenzetu wanaaangali vipaji huku hata kama we ni superstar huku huna kipaji hujachukuliwa popote kucheza movie ya mtu
labda uchukuliwe kama wale washangaaji tu na pia hua wanalipwa pesa ndefu pia ........sio tz ukimuita mtu kua njoo hata kama humlipi mradi anaonekana ktk tv basi yy hajali mda atakaopoteza na ww location......kingine kwa sababu ya ushamba hata usipowaita ukisimama tu na kuanza kushoot wanakuja watu wanajazana kibao so huna haja ya kuwaita mana hua wanakuja wenyewe kushangaaa

Hiyo ni kweli amina, yani sisi tunafanya vitu ili mradi tumefanya na watu wako conservertive hatubadiriki.
Na tatzo lingne hawapendi kushaurika
 
Back
Top Bottom