Video: Yanga....

Yanga hamta panda ndege labda mpaka mwaka 2014 labda mpande mkiwa mnaenda kagera kucheza na Kagera sugar...hahahahah

Unaonyesha jinsi ulivyo mshamba! Kupanda ndege ndo umeona ujaaaaaaaaaaaaanja! Mbona Atletico wamekuja na basi toka kwao Burundi nao ni mabingwa wa nchi yao! Tuone hicho kitimu chako cha wanamuziki toka DRC kama kitapanda ndege mara ngapi safari hii!
BTW, una habari kuwa Mbiyavanga Nkanu na Lino Musombo wamehamia FM Academia kwenda kunengua?
 
bingwa wa Tanzania na bingwa wa Africa mashariki na kati wapi na wapi...simba Taarabu mtupu ni kama unaongelea Jay Z na mzee yusuf

Mtawakilisha nchi kwenye mashinda yapi tena...
 
Haijarishi hata kama tutapanda ndenge mara tatu nakupeperusha mbendera ya nchi yetu poa tu siyo nchi mashindano ya nyumbani tu mna payuka...
 
Bado ni record ya kitoto hii.
Hebu angalia hizi hapa chini za kufa mtu...
Okwi anarudi kiama chenu kipo pale pale na safari hii kwasababu mmechonga sana tuna wapiga wiki na huyo fisadi wenu manji...
 
Okwi anarudi kiama chenu kipo pale pale na safari hii kwasababu mmechonga sana tuna wapiga wiki na huyo fisadi wenu manji...

Bora fisadi Manji kuliko matapeli "fiends" of simba na maha-RAGE yao.


Simba ni mtoto saana kwa Yanga Afrika.
Na mtoto ni mtoto tu - kurefuka na kunenepa kwa baba ruksa - ila kukua asahau!
 
[video=youtube_share;0dmKywkSQDo]http://youtu.be/0dmKywkSQDo[/video]
 
[video=youtube_share;1f3z7LIkqbk]http://youtu.be/1f3z7LIkqbk[/video]
 
Na Sunzu atawafuata huko FM Academia.
 
wamechukua kombe nimeamua kuwa kumbusha kuwa tuna wadai goli 5...

Mtabaki vivyo hivyo na timu yenu mbovu ya wacheza shoo...Eti Musombo, Mbiyavanga.....kuna mchezaji kweli hapo??????????
 

Wape vipande vyao don. Hawa jamaa ni mabingwa wa kombe la UROJO.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…