Kijana unaonyesha ni jinsi gani ulivyo nyuma kiushabiki yaani hizo goli 5 umeona ni matangazo na kitu cha ajabu kwako. Man U ilipigwa 6 na Man city, Arsenal ilipigwa 8 na Man U lakini bado ni timu bora duniani, iweje wewe usiyejua soka unarudia record za magoli na wala hujui record za jumla za timu hizi pinzani. Timu yako Kagame imecheza chini ya kiwango na una bahati mlikuwa mpigwe 10 kama mngeingia fainali..timu mbovu kabisa mnatimua wachezaji ovyo..subirini kichapo kwenye ligi kuu...Mtaijua Yanga vizuri nyinyi mabingwa wa kombe la kinesi.