Wanajamvi naomba walio karibu na wahusika watuulizie ni lini hiyo video ya ukweli ya mlipuko wa bomu Arusha itatoka ili tujiandae kuwakataa wanaotuua. Siku nikijua hiyo video inatoka sitafanya kazi yoyote ili niiangalie vizuri. Tuzuzeni jamani.
Hakuna cha video wala nini. Kama ingekuwepo hiyo video ingekuwa imeshatolewa copy na kusambazwa kila mahali na wao (kina Mh. Mbowe) wangebaki na original.
Tuseme NO kwa wanasiasa waongo na wachochezi kama Mh. Mbowe.
Wewe SUMU atakuamini nani wakati wewe ni wakala wa Magamba/Wauaji. Kafie mbali nawauliza wanaoaminika si wewe, suala la kuwepo sina tatizo nalo najua ipo ya ukweli na ni muda tuu bado hata wewe utashangaa na hao unaowashabikia.
Hakuna cha video wala nini. Kama ingekuwepo hiyo video ingekuwa imeshatolewa copy na kusambazwa kila mahali na wao (kina Mh. Mbowe) wangebaki na original.
Tuseme NO kwa wanasiasa waongo na wachochezi kama Mh. Mbowe.
Kamwe hawawezi kurudia makosa kama yaliyotokea kwa Mwangosi hvyo wamejipanga kuitumia ipasavyo. Mkuu vuta subira itatoka tu. Achana na hao mawakala wa magamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.