PreGE2025 Video: Tundu Lissu afikishwa Mahakama ya Kisutu muda huu

PreGE2025 Video: Tundu Lissu afikishwa Mahakama ya Kisutu muda huu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975

photo_2025-04-10_16-16-37.jpg

photo_2025-04-10_16-16-35.jpg

photo_2025-04-10_16-28-41.jpg

photo_2025-04-10_16-28-31.jpg



Awali Askari walikuwa wakizuia wafuasi kuingia kwenye chumba chama Mahakama baada ya kutokea kwa mabishano na baina ya baadhi ya wafuasi wa CHADEMA na Askari Polisi.​

Soma Pia:
 
Eti Lissu alijua tutaandamana...... Kenya na Tanzania tofauti, hata Uhuru hatukuupata kqa njia ya mapambano. Jenga hoja kistaarabu utaeleweka. Mara uhaini, mara bunduki. Na asitarajie tutaandamana kuzuia uchaguzi, kama yeye tu kakamatwa, sisi tunaendelea kunywa seneta na kitimoto

Dola ikiamua kukushughulisha lazima utoshe
 
Mene mene Tekeri na Persi
Kuna ule mfumo uliomshindisha uenyekiti dhidi ya Mbowe na kampani ya mwenyekiti wa kijani fc!!

Kuna picha hapa nataka nilione lipoje!

Britannica aliona hii akaandika !!!naona mkwe kamuingiza mwenyekiti kingi tena!!

Mbona comrade nchimbi alitosha kabisa kuchuana na Lisu kwenye open ground!!?
Nchimbi ana sauti ya kimamlaka kama ndio ajaye aiseh!!team lowasa wafutwe machozi ya 2015 japo kinafiki!
 
Back
Top Bottom