jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 338
Waungwana, nyoka kama viumbe hai wengine, n wadudu hatari sana hasa kwa mwanadamu.
Nyoka hana mikono, miguu, mabega wala kiuno. Nyoka ye kichwa na meno yake yenye sumu plus mkia wake ambao huutumia kutandika kisawasawa!
Tazama hapa chini picha ya hawa viumbe wabaya zaidi duniani:-
Nyoka hana mikono, miguu, mabega wala kiuno. Nyoka ye kichwa na meno yake yenye sumu plus mkia wake ambao huutumia kutandika kisawasawa!
Tazama hapa chini picha ya hawa viumbe wabaya zaidi duniani:-