Riziki Mohammed
Senior Member
- Mar 4, 2017
- 118
- 205
Kichupa kimetulia, nadhani magu atamwita magogon mwimbaji ampe maboresho na nyongeza zaidi!
Huyu jamaa nngekuwa mimi walahi nngejifuta pole pole hvi kweli jamaa anapata usingizi huyu
Kuna kitu nadhani kipo kati yao wale sio bure, haiingii akilini mtu mwenye akili zake aendelee kumbeba mtu anayemchafua na kumsifia mbele ya halaiki ya watu,umenichekesha kweli eti ShilawaduHata mimi namshangaa sana huyu na ShilawaDU. ShilawaDU anazidi kupata dosari kubwa sana kwa kumpigia debe huyu mhuni. Akili ni nywele hata ShilawaDU ana zake.
Kuna kitu nadhani kipo kati yao wale sio bure, haiingii akilini mtu mwenye akili zake aendelee kumbeba mtu anayemchafua na kumsifia mbele ya halaiki ya watu,umenichekesha kweli eti Shilawadu
Sawa mkuu,next time ntaandika kama ulivyonielekezaHiyo DU mwishoni lazima iwe capital letters lol!