Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

60361c975f49e50f212e529c1a72fe5a.jpg
mix_11.jpg
Mabinti wa kitamiil India, uafrika haufichiki hata kama kwenye film zao hawawaonyeshi mungu anatuonyesha.:D
 
Nachukia ukoloni na katu siwezi kuonea ufahari ujaji wa Wakoloni barani Afrika! Hata hivyo, hiyo hainiachi kuwaza kwamba je; huenda kama si ujaji wa Wakoloni Afrika; hivi sasa si ajabu bado tungekuwa kwenye primitive life kama hao?! Tungekuwa tumepiga hatua kiasi gani?

Anyway, sijasoma history... ngoja weekend hii nitumie muda kidogo kujisomea yale ambayo niliyasikia nikiwa Form I & II... Zama za Kale za Mawe; Ugunduzi wa Moto n.k! Ningependa kufahamu wakati Mswahili anaweza kuchonga jiwe kwa kutumia mawe; makabila mengine (non Africans; white in particular) walikuwa wapi!

Nikirudi kwenye mada; interest yangu sio "Waafrika" hao kwenda India... bali ni nini kiliwafanya ku-risk maisha yao kiasi cha kuingia kwenye mitumbwi hadi India! Let's wanatoka Tanga... walipokuwa wanaishi pakakumbwa na disease outbreak na hivyo kuwa si salama tena kuishi!! Kwanini wali-opt kuelekea Eastwards hadi baharini na kuanza kukata maji bila kufahamu wanaenda wapi.... huku nikiamini hawakuwa na mitumbwi ya kuweza kuhifadhi idadi kubwa ya chakula na maji... by the way; wangehifadhi kwa kutumia vifaa gani?! Why instead moving eastwards, hawakuelekea north/west/southwards ambako wangeweza kulikimbia eneo hatarishi bila ku-risk maisha yao tena wakiwa na uhakika wa kupata chakula kwavile wangekuwa wanasafiri pori kwa pori!!!!

Hebu nikumbusheni wataalamu wa historia! Wale Wangoni wa Kusini mwa Tanzania ni moja ya sehemu ya Wazulu ambao kusafiri kwao northward to Tanzania ilitokana na civil wars kule kwao?!

Mkuu Copenhagen DN, kwa hii ID yako naweza ku-assume upo Denmark! Kama ndiyo, kuna motivation factor iliyokufanya ku-move northward to Denmark! Kutafuta elimu, maisha na mambo mengine kama hayo! Nini inaweza kuwa motivation factor ya hao watu?!
mkuu Kuna mwanahistoria flan gwiji uingereza anadai hawa watu waliachwa nyuma kisiwani hapo na wenzao waliotangulia mbele Papua New Guinea, Australia na east and west pacific.

Wenyewe waliamua kubaki visiwani humo. Wataslam wamepima DNA zao zinashabiana kabisa na sisi wa east Africa na yale aborigine ya australia
 
Na ni nini hasa kinachopunguza idadi yao?? Umesema Wamebakia 450 tu! Je kabla ya hapo walikuwa wangapi? Na nini sababu ya mfumo wao wa kinga kuwa dhaifu zaidi ya jamii nyingine? Kama hutajali naomba majibu
inasemekana miaka 200 iliuopita walikuwa zaidi ya 30 elf. Naskia magonjwa ambukiz kutoka Kwa wageni
 
View attachment 429936 Huyu binti wa pacific hawaii.muonekano wa kiafrika bado upo japo anabadilika kutokana na mazingira na labda chakula.
Hapana mkuu wa hawahii hawanavinasaba yeyote na waafrika. Hawa wapo chini ya group of People called POLYNESIANS ambao ni Tongan, Tahitians (French Polynesian), Samoans, Maoris (wale wa Newzealand) Na Hawaiian. Pia watu wa Madagascar ni Polynesian wasichana wao warembo sana.

Kuna wakati nilitaka kulera Uzi kuhusu hawa watu nikawa preoccupied.

inasemekana chimbuko lao ni taiwan dna inaonyesha
 
View attachment 429943 Msichana wa kihabeshi afrika.tizama nywele mwafrika alianza kubadika badilika zamani.
mkuu in africa there are 3 major groups of peoples. Kuna Bantus nilotes and cushites/semites na san people (bushmen). Kwa hawa wahabeshi ni Semites ambao ni Tigray na Gurage walitoka middle east hasa Yemen. Pia Cushites walitoka hukohuko ndio wasomali, Oromo, Borana, Tutsi, Mbulu/iraqw hadi Fulani wa west na central Africa.

Sasa waafrika real ni sisi mabantu ambao tulizaliwa humuhumu Africa na hatukuamia. Kuna two group of bantus East and Western bantus kuna suku nitaleta uzi.

kuna nilotes weus tii chimbuko lao sudan au nubian.

Nitaleta uzi humu siku moja
 
Historia gani unaongelea? Ya Berlin conference? Umeenda Zanzibar kuona boma ya wareno? Unajua vilijengwa lini? Bagamoyo yale makaburi ya waarabu ya lini? Burma, India, Singapore, South Africa. Ukoloni umetapakaa East Africa kabla hata ya kalne ya 13. Nenda Kilwa utajifunza zaidi. England ilikuwa koloni la warumi 900 AD. Usifikiri ukoloni ulikuwa Africa tu. Ulaya nao walitawaliwa na wazungu wenzao tena brutality kubwa saa nyingine kuliko kwetu. Utumwa ulikuwepo kati yao vile vile. Hivyo soma vizuri history.
well said mkuu,kuna watu huwa wanadhani nchi zingine hazikutawaliwa huku hata marekani yenyewe imetawaliwa
 
Pia kuna hawa wa visiwa vya FIJI inasemekana pia asili yao Tanganyika, walitokea mwambao mwa ziwa Tanganyika hadi wakafika Atlantic Ocean. Wao wata
IMG_2142.JPG
miili mikubwa ya Kiafrica hasa, ila bado huwezi wakuta weusi kabisa kama sisi. Hata ukimkuta mweusi tii basi nywele zake za kishobe kidogo. Hata neno FIJI wanasema linatokana na nene VITI.
 
Back
Top Bottom