imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,678
- 71,030
Unajua fiji imeanza kubadilishwa na huo ni mpango wa waingereza,walipeleka malaki ya wahindi weupe huko ili wazaliane wachukue visiwa hivyo.leo nusu ya WARUFIJI nadhani "umenielewa" ni baniani.Pia kuna hawa wa visiwa vya FIJI inasemekana pia asili yao Tanganyika, walitokea mwambao mwa ziwa Tanganyika hadi wakafika Atlantic Ocean. Wao wataView attachment 429979 miili mikubwa ya Kiafrica hasa, ila bado huwezi wakuta weusi kabisa kama sisi. Hata ukimkuta mweusi tii basi nywele zake za kishobe kidogo. Hata neno FIJI wanasema linatokana na nene VITI.