Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

Kisiwa cha Sentinel Kaskazini kilichoko katika Bahari ya Hindi nchini India kinatajwa kuwa kisiwa hatari kuliko vyote duniani kiasi cha serikali ya India kufanya kuwa ni kosa la kisheria mtu yoyote kuwa karibu na kisiwa hicho kwa umbali wa Maili 3.

Inasemekana kwamba kwenye kisiwa hicho wanaishi watu na viumbe wanaotisha na hawawezi kuchangamana na binadamu wa kawaida kwani huweza kuwadhuru na inaaminika kuwa wameishi kwenye kisiwa hicho kwa miaka zaidi ya 60, 000.

Kisiwa hicho kimezungukwa na msitu mkubwa na kinakisiwa kuwa na viumbe kati ya 50 hadi 400 na imekua vigumu watu kufanya utafiti zaidi kwenye kisiwa hicho na kupata taarifa nyingi kwa sababu ya mazingira hayo ambayo yanaogopesha.
hhhhh1-660x400.jpg
Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa watu weusi wanatisha na siviumbe wakawaida?
 
Ni kweli hiki kisiwa kipo India na kinakaliwa na watu weusi sana wanaitwa jarawa.

Hawa watu ni bush men make wanaishi porini na hawana interaction kubwa na jamii nyingine ispokuwa watalii.

Nafikiri serikaki ya India imeweka mashariti magum kufika huko ili iendelee kujiingizia kipato make, hiki kisiwa na watu wake ni kivutio Kikubwa cha utalii kwa India. Pia huwaingizia pesa Nyingi za kigeni.

Hapo ndo utagundua kuwa asasi za kutetea haki za binadam ni za kinafiki kwani hii ni ubaguzi wa hali ya juu sana. Iweje jamii fulani itumike kama kivutio cha utalii halafu jamii husika isinufaike hata kidogo.

Pia African organizations hatujafanya jitihada za maana make hawa watu ni weusi na either wana asili ya Africa au hata huko India lkn kwa kuwa ni weusi lazima tutetea uhuru, haki na usawa wa weusi wenzetu na binadam wote kwa ujumla. Hebu fuatilia hotuba za wazungu, waraabu, na wahindi wanavyozungumzia marginalised societies wanafanana nao.
 
Mi napenda sana waishi ivo ivo kuonyesha uhalisia wa ngozi nyeusi kwa mana mtu mweusi itafika miaka 2070 atakuwa kaisha kwa ajili ya mkorogo au kurizika kwa maisha wewe huoni mpoki anangaa kwa pesa raisi wetu wewe huoni ni pesa inavyofanya manunuzi ya masabuni mafuta ya kipesa ambazo zinaondowa uhasilia wa mwafrika.
 
Ni kweli hiki kisiwa kipo India na kinakaliwa na watu weusi sana wanaitwa jarawa.

Hawa watu ni bush men make wanaishi porini na hawana interaction kubwa na jamii nyingine ispokuwa watalii.

Nafikiri serikaki ya India imeweka mashariti magum kufika huko ili iendelee kujiingizia kipato make, hiki kisiwa na watu wake ni kivutio Kikubwa cha utalii kwa India. Pia huwaingizia pesa Nyingi za kigeni.

Hapo ndo utagundua kuwa asasi za kutetea haki za binadam ni za kinafiki kwani hii ni ubaguzi wa hali ya juu sana. Iweje jamii fulani itumike kama kivutio cha utalii halafu jamii husika isinufaike hata kidogo.

Pia African organizations hatujafanya jitihada za maana make hawa watu ni weusi na either wana asili ya Africa au hata huko India lkn kwa kuwa ni weusi lazima tutetea uhuru, haki na usawa wa weusi wenzetu na binadam wote kwa ujumla. Hebu fuatilia hotuba za wazungu, waraabu, na wahindi wanavyozungumzia marginalised societies wanafanana nao.
mwaka Jana serikali ya India bungeni imepitisha muswada kuwatambua all the Roma/Gypsies ni raia wa India japo walihama Na kumigrate ulaya 1000 years ago wengi wao wakiishi Bulgaria Na Romania
 
mwaka Jana serikali ya India bungeni imepitisha muswada kuwatambua all the Roma/Gypsies ni raia wa India japo walihama Na kumigrate ulaya 1000 years ago wengi wao wakiishi Bulgaria Na Romania
Wamewauliza waRoma wenyewe kama wanataka kurudi India, au ni siasa tu,mbona wanawamaliza waJarawa na Sentinelese?!!
 
Habari za Wikendi wanaJamvi.

Bado inawaumiza vichwa sana wana Historia na wanaanthropolojia hawa watu walifikaje India kwenye visiwa vya Andaman na Nicobar? Nadharia tofauti zinadai hawa watu wa kabila linaloitwa Jarawa walisafiri kutoka Africa Mashariki Kwa mitumbwi miaka elfu 60 iliyopita na wala hawakuwa watumwa walifika pekee Yao.

Vasco da Gama kawaelezea Kwa uchache kweli walipojaribu kuweka nanga visiwani humo Karne ya 15 akielekea Goa India walikabiliwa na upinzani mkali Kwa kurushiwa mishale ikabidi waondoke.

Sasa hivi idadi Yao imeshuka wamebaki 450 tu. Serikali ya India imeamua kuwaacha waishi wanavyopenda bila bughudha na kutoruhusu watalii wowote hasa kutoka magharib ambao wanausongo sana kuwatembelea ndugu zetu hao India Kwa sabab kinga za mwilini mwao ni dhaifu na wakipata maambikiz kama magonjwa ya Surua itawafyeka.

Kuna wahindi walikuwa wanawaingiza watalii wazungu kinyemela visiwani humo nyakati za usiku ila wamekamatwana serikali ya India nakuchukuliwa hatua kali.

Mwaka huu binti wakabila hili la Jarawa alizaa mtoto chotara ikabidi wazee wanaume wa kabila hili wakizamishe baharin. Msemaji wa serikali ya India alisema hawez kuingilia mambo ya hao watu wamewaacha wajitawale wenyewe.

Vyakula wanavyokula ni mizizi, nguruwe pori, samaki na madafu sana sana.

Very interesting

Na nadhani hii tabia ya kuua watu wenye 'light skin complexion' ndio imewafanya wazidi kua weusi
 
Wahadzabe wa hapa kwetu bado wanatembea uchi pia. Mwaka 2011 sikumbuki kijiji hasa lakini ni karibu na Igunga na kabla ya kufika Singida niliwahi kuona wadada wametoka kuchota maji wameva kiasili kabisa na juu hawajavaa kitu matiti yako wazi. Na pia miaka ya tisini niliwahi kuona wasichana wa kikurya waliotoka kutahiriwa wakicheza ngoma huku wakiwa hawajavaa kitu chochote juu. Haya mambo bado yapo humu humu nchini mwetu Serikali nyingi huwa zinaheshimu mila na desturi za hayo makabila (minorities)
Hao wa Igunga ni Wataturu.
 
Da yan taifa kubwa kama India wameshindwa kuwapelekea ustaharabu hawa watu wamewaacha tu watembee uchi.Dah!Nimeumia sana,najua in dhambibya ubaguzi mwisho wa Sikh wakajikuta wanatembea tu pekeyao wakashindwa kufanya adaptation
Watembea uchi si hao tu weusi, kuna weupe misitu ya Amazon nao bado wanatembea uchi.
 
Huyo mtoto atakuwa ni albino,tunapiga vita mauaji ya albino,hapa unasifia mauaji.Kwa mauaji haya,inatakiwa kitendo hiki kilaaniwe na watu wa haki za binadamu dunia nzima.
Wewe umesema kweli tupu,maskini,mtoto ameuliwa,akiwa hana hatia.Hawa watu ni makatili,hawana utu.
 
Back
Top Bottom