imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,034
Indian are inducing intentional evolutional extintion of these minority tribes. This naton is rude. They are entwined with primitive culture of separatism that is cast classes. UNITED NATION should intervene this, another type of war. You dont need guns to kill, deny human being necessary for his survival that is genocide. Indian Government has to answer basic questions, as to why are they keeping these people as wild live in a park. UN secretary kindly do something for these inocent people. They dont have hospitals, schools etc. Indian Goverment is removing these people from the surface of the earth. This will be your legacySwali zuri mkuu,.lakini kaa ukijua "adui" mkubwa wa andamanese ni Indian government,wanajifanya wanalinda haki za makabila asilia lakini wanaruhusu uhamiaji wa maelfu ya watu kutoka bara hindi ambao wanaenda na maradhi ya kila aina,ukweli ni kwamba serikali ya India inataka "kuwafuta" wajarawa katika visiwa vyao,sasa serikali zetu AU,UN ni watu wa sayari nyingine kabisa.
nya hawakubali ng'o.Eti watu weusi wa marekani huwa wanasema
Sisi tuliobaki huku tuna roho mbaya coz
Hakuna hata mmoja aliewahi kuchukua mkuki kwenda kuwarudisha
Na mimi huwa nasema kama umepajua kwenu siurudi uchague eneo unalotaka kukaa.
Israel walikaa misri utumwami kwa miaka 400
Baade wakarudi.
Na hawa tangu wakae huko ni miaka 400 na zaidi siwarudi..
Ni bora africa ingekuwa na umoja wa kutambua waafrica popote walipo
Na kuchukua maoni yao wanaopenda kurudi warudi
Kuna barabara bwana. Kwa hiyo wahindi wamefanya kama park ya kuvutia wataliiWanawake wameumbika hawa jamani duh!!!
Hao wazee wanafaidi sana halafu kwa nini wanapungua idadi inamaana hawazaliani sana au hawana muda wa kugegedana?
Unamaana gani mkuu?Nguvu ya mtu mweusi ni upi?
Maana yangu ni kwamba, kwanini tunashindwa kuzuia manyanyaso kwa watu weusi popote pale ulimwenguni? Nguvu zetu za kuzuia haya mambo ni wapi?Unamaana gani mkuu?
"The enemy within" ndio inayotusumbua mkuu. Wazalendo ni ni wengi ila wanauzwa kwa ajili ya tonge.Maana yangu ni kwamba, kwanini tunashindwa kuzuia manyanyaso kwa watu weusi popote pale ulimwenguni? Nguvu zetu za kuzuia haya mambo ni wapi?
Naomba ngoma isiwe mojawapo ya magonjwa!!wataisha na waafrika tunavyopenda hiyo kitu hapo chini, ni balaainasemekana miaka 200 iliuopita walikuwa zaidi ya 30 elf. Naskia magonjwa ambukiz kutoka Kwa wageni
Tunapenda sabu za asili yetu yenye ladha ya kipekeeNaomba ngoma isiwe mojawapo ya magonjwa!!wataisha na waafrika tunavyopenda hiyo kitu hapo chini, ni balaa
Aisee kweli kabisa, Jews halisi ni blacks wenye kama wale wa Ethiopians, kuna clip moja ya BBC waliieleza vzr kuhusu Saving The Forgotten Jews...kumbe blacks ni jamii kubwa sana!"The enemy within" ndio inayotusumbua mkuu. Wazalendo ni ni wengi ila wanauzwa kwa ajili ya tonge.
Ancient hebrews walikuwa ni watu weusi,hawa wa sasa asili yao ni khazaria.Aisee kweli kabisa, Jews halisi ni blacks wenye kama wale wa Ethiopians, kuna clip moja ya BBC waliieleza vzr kuhusu Saving The Forgotten Jews...kumbe blacks ni jamii kubwa sana!
Na hao Hebrews halisi mpaka leo wanatengwa kule Israel, ila cha ajabu wenyeji wanakubali kwamba Hebrews original ni wa Israel wenyewe...dah nilikuwa sijui history of blacks thanks to this threadAncient hebrews walikuwa ni watu weusi,hawa wa sasa asili yao ni khazaria.
Persians ni waajemi sio wafarisayo(pharsees).Hata asili ya waarabu ni kahtanese ni weusi wa kutoka horn of afrika kabla ya kuzaana na wafaarisayo.(persians)