Video: Mwandishi aibiwa mbele ya camera, Afrika Kusini

Video: Mwandishi aibiwa mbele ya camera, Afrika Kusini

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
33,570
Reaction score
53,584
 
Last edited by a moderator:
mimi nikiendaga South Africa kama mwenyeji haji kunipokea ni bora nilale hoteli karibu na AIRPORT maana hao madreva TAXI ndo wezi wenyewe. Nilishawahi kukutana na mama Fulani hapo OR Tambo Int'l Airport ana mzinga wa Mta.ko anajidai ananijua eti naitwa ANTHONY kumbe ndo gia zao ukiingia lani kujidai kumtongoza utastukia asb umebaki na bukta tu
 
mimi nikiendaga South Africa kama mwenyeji haji kunipokea ni bora nilale hoteli karibu na AIRPORT maana hao madreva TAXI ndo wezi wenyewe. Nilishawahi kukutana na mama Fulani hapo OR Tambo Int'l Airport ana mzinga wa Mta.ko anajidai ananijua eti naitwa ANTHONY kumbe ndo gia zao ukiingia lani kujidai kumtongoza utastukia asb umebaki na bukta tu
tena muda mwingine ukikutana na mtu anaongea kiswahili mwogope pia
 
Back
Top Bottom