Linus w slaa
Member
- Jan 29, 2025
- 67
- 151
HatarMusoma wa Unga: "No Reforms, No Elections" - Msimamo wa Nchi
Hali ya kisiasa Tanzania inazidi kuwa ya mvutano huku chama cha upinzani cha CHADEMA, hasa Musoma, Mara, kikichukua msimamo thabiti wa "No Reforms, No Elections." Kauli hii inamaanisha kwamba bila marekebisho ya katiba na sheria za uchaguzi, CHADEMA inapinga kushiriki uchaguzi wa 2025.
Yule bibi,hadi masikio yatoke damu ndipo atasikia.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kupiga kura au kugombea,ukiufahamu mfumo wa Tume ya uchaguzi na muundo wa ccm.
Musoma wa Unga: "No Reforms, No Elections" - Msimamo wa Nchi
Hali ya kisiasa Tanzania inazidi kuwa ya mvutano huku chama cha upinzani cha CHADEMA, hasa Musoma, Mara, kikichukua msimamo thabiti wa "No Reforms, No Elections." Kauli hii inamaanisha kwamba bila marekebisho ya katiba na sheria za uchaguzi, CHADEMA inapinga kushiriki uchaguzi wa 2025.
WanaJF, ni wakati muafaka Sasa wa kufanya maombi kwa ndg zetu wanachadema wa chadema chakavu; kiukweli wanachanganyikiwa.......mchanganyo unaongezeka siku baada ya siku.Musoma wa Unga: "No Reforms, No Elections" - Msimamo wa Nchi
Hali ya kisiasa Tanzania inazidi kuwa ya mvutano huku chama cha upinzani cha CHADEMA, hasa Musoma, Mara, kikichukua msimamo thabiti wa "No Reforms, No Elections." Kauli hii inamaanisha kwamba bila marekebisho ya katiba na sheria za uchaguzi, CHADEMA inapinga kushiriki uchaguzi wa 2025.
View: https://youtu.be/juI688Br7XI?si=IVeomwp38d_OlS5g
Kama sio provocation nini watu wanatoka mkutanoni unawapiga mabomu bila ya sababu?
Unachangabyikiwa wewe hasa baada ya kukoma hedhi.WanaJF, ni wakati muafaka Sasa wa kufanya maombi kwa ndg zetu wanachadema wa chadema chakavu; kiukweli wanachanganyikiwa.......mchanganyo unaongezeka siku baada ya siku.
Nafikiri mnajionea wanaJF jinsi nyumbu wanavyozidi kupagawaUnachangabyikiwa wewe hasa baada ya kukoma hedhi.
View: https://youtu.be/juI688Br7XI?si=IVeomwp38d_OlS5g
Kama sio provocation nini watu wanatoka mkutanoni unawapiga mabomu bila ya sababu?