video mpya ya Belle 9 yapigwa Trace tv

video mpya ya Belle 9 yapigwa Trace tv

utandawazi

Member
Joined
Oct 1, 2015
Posts
96
Reaction score
16
Video mpya ya mwanamuziki Belle 9 inayoitwa'shauri zao' imeanza kuonekana kimataifa kwa kuchezwa kwa mara ya kwanza kwenye kituo cha trace tv cha afrika kusini. Hii ni furaha sana kwa belle 9 na wote wanaopenda muziki wetu. Video hii imetengenezwa na producer wa hapa nyumbani hanscana.
 
Wanambania sana kwenye tunzo hapa bongo alistahili kupata kila mwaka
 
Mwana anakimbimbiza sana hapa bongo sema wanambania...kwa bongo sijaona mkali wa rnb kma yeye....
 
Back
Top Bottom