Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,612
- 272,364
Ohoooo!!!Huyu happi ni RIZKI kweli?
Msigwa.amemtolea uvivu huyu jamaa anayebebwa bebwa hivi vyeo va kupewa bwana vinawababaisha sana hawa wateule.Hebu jionee mwenyewe
kwa Msigwa huyu atanyooka tuMsigwa.amemtolea uvivu huyu jamaa anayebebwa bebwa hivi vyeo va kupewa bwana vinawababaisha sana hawa wateule.
SiyoHuyu happi ni RIZKI kweli?
pumbavu huna loloteKwa hiyo hiyo ndio kazi ya mbunge? Kuwa kazi ya mbunge Ni.kumchana mkuu wa mkoa.Aisee chadema hopeless kabisa
Angalia na upande wa pili ulio na kazi za RC kisha ulinganishe kazi zao ndipo utoe hukumu ya nani hopeless kabisa kati ya Msigwa au Hapi na au Chadema au ccm.Kwa hiyo hiyo ndio kazi ya mbunge? Kuwa kazi ya mbunge Ni.kumchana mkuu wa mkoa.Aisee chadema hopeless kabisa
Kweli aiseeSiyo
Hata huyo unayemtetea ni hopeless.juzi alisema atahakikisha upinzani unafutika Iringa, na akiwaona wapinzani anajisikia kichefuchefu,sasa sijui ana ujauzito?Akumbuke hawa ni wanyalukolo wajukuu wa Mkwawa, hawapendi ujingaujingaKwa hiyo hiyo ndio kazi ya mbunge? Kuwa kazi ya mbunge Ni.kumchana mkuu wa mkoa.Aisee chadema hopeless kabisa
Kati ya CCM asili na CCM academia uko upande gani , tunaomba kufahamu msimamo wakoKwa hiyo hiyo ndio kazi ya mbunge? Kuwa kazi ya mbunge Ni.kumchana mkuu wa mkoa.Aisee chadema hopeless kabisa
Mada hapa ni mchungaji msigwa was chademaKati ya CCM asili na CCM academia uko upande gani , tunaomba kufahamu msimamo wako
Mkwawa hajawahi kuzaa Wala kuwa na mjukuu mkinga mwenye jina la MsigwaHata huyo unayemtetea ni hopeless.juzi alisema atahakikisha upinzani unafutika Iringa, na akiwaona wapinzani anajisikia kichefuchefu,sasa sijui ana ujauzito?Akumbuke hawa ni wanyalukolo wajukuu wa Mkwawa, hawapendi ujingaujinga
Msigwa kiboko yenu kudadeki ! Mwakalebela kakimbilia Yanga , huku Hapi akijiandaa kukimbilia AzamMada hapa ni mchungaji msigwa was chadema
Aisee CCM hovyo kabisaKwa hiyo hiyo ndio kazi ya mbunge? Kuwa kazi ya mbunge Ni.kumchana mkuu wa mkoa.Aisee chadema hopeless kabisa