Video: Marehemu afufuka baada ya miaka 14

digba sowey

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
10,401
Reaction score
22,952
Maajabu!!! mama aliyefariki mwaka 2008 na kuzikwa amepatikana akiwa hai, ndugu wanadai kuwa baada ya kumuona akiwa hai ilibidi waende hospitali kufanya vipimo vya DNA ili kuthibitisha kuwa ni yeye.

Inadaiwa kuwa alikuwa Ngamboshi akitumikishwa kazi ngumu!!

Nitaendekea kuwapa updates,kwani ndugu wanafuatilia kibari cha polisi ili kufukua kaburi lilitumika kumsitiri Marehemu

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…