Kama fomu zao zitaidhinishwa na nguchiro basi waendelee kujidanganya na kushupaza makalia yao. hata aibu hawaoni, hivi yule mjane wa Manyoni si anawaona hawa ni mazezeta tu.
Unajua jamani wanaokwenda shule ni wengi lkn wanaoelimika ni wacheche.
Na napenda kuwakumbusha tu kwamba Division one ya darasani sio division one ya huku duniani. Nyie akina mwezi mchanga, mjitafakari, mmedandia treni kwa mbele.
55 Stronger, Kwa hiyo Milioni tano na ushehe ni weaker, mmelogwa sio bure. Kama sio njaa au vijiposho basi naomba mkajiangalie kwenye kioo mhakikishe kweli mmevaa nguo au mmebaki na boxer