Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,237
Huyu hapa , jionee mwenyewe .
We naye...hiki ki-comment chako ndo unatupia kwenye kila uzi?Kama nitakuwa nimemwelewa vizuri mleta Mada, kwa Kweli kitendo anachofanya mwenye nyumba cha kuwapandishia Wapangaji Kodi kila Mkataba unapoisha sio Kizuri. Halafu hafanyi marekebisho yoyote, Choo Kibovu, rangi vyumbani imechoka na kuna baadhi ya vyumba vinavuja. Yeye akipata pesa ni pombe tu.
Teh ... Pombe bhanaKama nitakuwa nimemwelewa vizuri mleta Mada, kwa Kweli kitendo anachofanya mwenye nyumba cha kuwapandishia Wapangaji Kodi kila Mkataba unapoisha sio Kizuri. Halafu hafanyi marekebisho yoyote, Choo Kibovu, rangi vyumbani imechoka na kuna baadhi ya vyumba vinavuja. Yeye akipata pesa ni pombe tu.
Lowassa bado raisi wa moyo wako?? Maana nyie kwa ujinga ni namba mojaNilikuwa namheshimu sana Dr Mihogo. Hata alipojiweka pembeni siku Lowassa alipojiunga CHADEMA nilimuelewa na nikaanza kumtangaza kuwa ni mtu mwenye msimamo kama Nelson Mandela, ila siku chache baadae alipoanza kuitetea tena ccm ile ile aliyokuwa anainanga nikajuta kumuamini.
Nimefuatilia historia tangu kuzaliwa kwake, na ningejua hayo mapema nisingethubutu kumtetea kwa namna niliyoifanya. Dr Mihogo; Bwana Yesu wa Nazareth anisamehe; lakini nakuombea upate unachokistahili.
Lowassa bado raisi wa moyo wako?? Maana nyie kwa ujinga ni namba moja
usimshambulie Mrema , shambulia hoja zakeMrema ni kikaragos tui cha Mbowe pale ufipa
Ni kichuguu tu huyo mwenye njaa,hiyo nafasi ya ukurugenzi wa Halmashauri na unge alipewa na Slaa
Kama ni listi ya mafisadi hata yeye mrema alikubali lowassa awe mgonbea wa chademausimshambulie Mrema , shambulia hoja zake