Mbasembase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,057
- 4,608
Kanda ya kusini waipokea oparesheni UkutaChama cha CHADEMA Kanda ya Kusini kimesema kinaunga mkono maazimio ya kamati kuu ya chama hicho kuhusu kufanya operesheni ya Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania.
Mangi wametapakaa kila mahali kweli Mbowe kiboko