Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
Wakuu kama mnavyofahamu siku za nyuma kidogo IGP aliansa semina elekezi au kikao kazi na makambda wote wa mikoa ya kipolisi Tanzania.
Katika hicho moja ya mambo aliyosisitiza ni maRPC kutowahukumu watuhumiwa hadharani mfano afanyavyo kamanda Muroto wa dar na kusisitiza hao ni watuhumiwa tu.
Lakini baada ya maelekezo hayo naona hali haijaeleweka kwa kamanda MUROTO wa Dodoma kwani Leo ametoa video nyingine akidhalilisha mtuhumiwa ambaye ni mfanyakazi wa benki mkoani Dodoma, mbele ya kamera na waandshi wa habari.
My take:
JE, KAMANDA MUROTO ANMDHARAU/HAMTII/AMEMPUUZIA BOSI WAKE??
NA HII KIMEDANI/KIJESHI IMEAKAAJE?
VIDEO HUSIKA NIMEAMBATANISHA.
Katika hicho moja ya mambo aliyosisitiza ni maRPC kutowahukumu watuhumiwa hadharani mfano afanyavyo kamanda Muroto wa dar na kusisitiza hao ni watuhumiwa tu.
Lakini baada ya maelekezo hayo naona hali haijaeleweka kwa kamanda MUROTO wa Dodoma kwani Leo ametoa video nyingine akidhalilisha mtuhumiwa ambaye ni mfanyakazi wa benki mkoani Dodoma, mbele ya kamera na waandshi wa habari.
My take:
JE, KAMANDA MUROTO ANMDHARAU/HAMTII/AMEMPUUZIA BOSI WAKE??
NA HII KIMEDANI/KIJESHI IMEAKAAJE?
VIDEO HUSIKA NIMEAMBATANISHA.