Video mbovu wimbo wa kishenz kabisa, nimejaribu kuupitia mara nyingi lakini sijaona jipya, dai anaimba na pensi ya kulalalia,Iyanya na yeye kavaa kihun kama cargo.
Kwa hali hii basi njia ya King ni nyeupe sana tusubiri tu video ya chekecha itawaziba watu midomo. Period
i like Diamond's moves... kuna ka style flani hivi hawajakapa airtime ya kutosha..
Duh hii video mbona dizain kama hawakua siriazi hivi yaani wameitoa kisela sana, simple sana.
Dayamondi kashindikana. Yule jamaa aliyeibiwa ashapata hela ya kununua vipya au tumchangie
Video mbovu wimbo wa kishenz kabisa, nimejaribu kuupitia mara nyingi lakini sijaona jipya, dai anaimba na pensi ya kulalalia,Iyanya na yeye kavaa kihun kama cargo.
Kwa hali hii basi njia ya King ni nyeupe sana tusubiri tu video ya chekecha itawaziba watu midomo. Period
nlivokuwa nasikiliza audio nili "Expect" kitu tofauti tena kizuri kumbe......watakuwa wanatania hawa watatengeneza video nyingine naona
Video mbovu wimbo wa kishenz kabisa, nimejaribu kuupitia mara nyingi lakini sijaona jipya, dai anaimba na pensi ya kulalalia,Iyanya na yeye kavaa kihun kama cargo.
Kwa hali hii basi njia ya King ni nyeupe sana tusubiri tu video ya chekecha itawaziba watu midomo.
Daaah we kilaza snaa shem on u
Video mbovu wimbo wa kishenz kabisa, nimejaribu kuupitia mara nyingi lakini sijaona jipya, dai anaimba na pensi ya kulalalia,Iyanya na yeye kavaa kihun kama cargo.
Kwa hali hii basi njia ya King ni nyeupe sana tusubiri tu video ya chekecha itawaziba watu midomo. Period
Ila hapa wa kulaumiwa ni Iyanya na director wake coz wanaonekana hawakujipanga yaani hata hawakuchukua madencer wa kueleweka, inaonekana kuna ile style Diamond anaicheza anakua kama anamfundisha Iyanya halafu iyanya anakua km hajaielewa hivi yaani iko kama behind the scene hivi!
But song ni bonge la songi
Kati ya collabo Diamond alizoua sana hii ni mojawapo!
Dayamondi kashindikana. Yule jamaa aliyeibiwa ashapata hela ya kununua vipya au tumchangie
Duh hii video mbona dizain kama hawakua siriazi hivi yaani wameitoa kisela sana, simple sana.
Sawa but madansa kwa songi linalochezeka km lile muhimu sana.sio kila video lazima madansa wawepo banaaa,,,,
hiyo ndio idea Yao,wanafanya na kinachowafurahisha Wao pia
video mbovu kuliko zote nilizowahi kuziona,utumbo mtupu