MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 3,697
- 5,032
Leo hii waitara aliekua akimtolea mfano wapo changu kimoja hatareeeeeeee
Hawamwambii ukweli na mbaya zaidi yeye mwenyewe anapenda kusikia sifa tuUnafki uliokuwepo utwala huu ni mkubwa sana.View attachment 1308079
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ya magufuli inatukosea Sana watanzaniaNchi ya wajinga sana hii.
Pale ambapo unaweza kukwepa Kodi kwepa tu ndiyo kilichobakiHuwa nawaza, wananchi waliochini ya majimbo ya Upinzani...wana uwezo wa kususia kulipa kodi kwa chama tawala kama kodi yao haiwasaiidii...Nawaza tu!
Tunatakiwa kuijenga amani, sio kuiomba amani kutoka kwa MunguNchi iko kwenye mapito!! Mwenyezi Mungu inusuru nchi!!
Japo huyu jamaa ni kama kichaa fulani ila ni kichwa sana!. Kuna vitu anasema jokingly lakini ndio ukweli wenyewe wa kinachofanyika.
Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.
P