SI KWELI Video hii mtu kutembea juu ya maji ni halisi

SI KWELI Video hii mtu kutembea juu ya maji ni halisi

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Wakuu hawa jamaa wanatupanga hapa au ni halisi?



1773217898850.jpeg

1773217919379.jpeg

1773217928716.jpeg
 
Tunachokijua
Wadau wa JamiiCheck kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kuthibitisha uhalisia wa video inayomuonesha mwanaume mmoja akitembea juu ya maji.

Wadau wengi wamebainisha kuwa kipande hicho cha video si halisi na badala yake kina uwezekano wa kuwa kimetengenezwa kwa teknolojia ya Akili Unde.

Ufuatiliaji wa JamiiCheck kupitia nyenzo za kidigitali za kubaini maudhui yaliyotengenezwa kwa AI, umebaini kuwa video hiyo imetengenezwa kwa Teknolojia ya Akili Unde.
Kwa kutumia nyenzo vya ai video detector inabainisha kuwa video ambayo inamuonesha raia moja akitembea juu ya maji imetengenezwa kwa kutumia akili unde

Kwa ufuatiliaji zaidi hakuna uthibitisho ambao uanonesha kuwa hakuna binadamu ambaye tembea juu ya maji kwani hakuna Uthibitisho kuwa uzito wa binadamu na msukumo wa molekuli za maji haviwezi kumfanya mtu mzima atembee juu ya maji (surface tension ya maji ni ndogo mno kubeba uzito wa binadamu). Hadi sasa, hakuna ushahidi wa kisayansi au rekodi ya kihistoria iliyothibitishwa (nje ya maandiko ya kidini) inayoonesha binadamu ana uwezo wa kibaolojia kufanya hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom