The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 3,611
- 9,269
View: https://youtu.be/DQve6MgYYtU?si=gSHWEMj76INC8rxZ
Hatimaye tutamuona tena....!!
Baba Mungu wa mbinguni katika Yesu Kristo kampa Green Light ya kutoka na kuzungumza tena na Watanzania na ulimwengu baada ya kuwa ktk faragha ya pekee na Mungu Yehova kwa takribani miezi mitatu tangu tarehe 26/10/2025 alipoonekana kwa mara ya mwisho....
Ni Askofu Josephat M. Gwajima.
Atakuwa na Neno la kuongea na wana wa Mungu na Watanzania katika mkesha wa mwaka mpya tarehe 31/12/2025 kuanzia saa 2:00 Kanisa Kuu, GCTC - UFUFUO NA UZIMA CATHEDRAL - DSM
Atazungumza kuhusu yatakayoipata Tanzania (Tanganyika) kwa mwaka mpya wa 2026 unaoanza 1/1/2026 kama ambavyo Yakobo aliwaita wanae 12 na kuzungumza nao kuhusu yatakayompata kila mmoja siku zao za mbeleni.
Wote mnakaribishwa kanisa. Na watakaofuatilia kwenye mitandaoni KARIBUNI NYOTE..!