nadhani wameshatowa okey nitascan kwa ajili yako tuma email adress yako ni font page na page ya majina . ila itachukuwa mda mpaka nimsake mwenye kitabuSaidia kijana!WEBSITE haionyeshi graduates ...wengine sisi computer ni kama typewriter
nadhani wameshatowa okey nitascan kwa ajili yako tuma email adress yako ni font page na page ya majina . ila itachukuwa mda mpaka nimsake mwenye kitabuSaidia kijana!WEBSITE haionyeshi graduates ...wengine sisi computer ni kama typewriter
nadhani wameshatowa okey nitascan kwa ajili yako tuma email adress yako ni font page na page ya majina . ila itachukuwa mda mpaka nimsake mwenye kitabu
Nimependa Vicky alivyoimba Tabora na wanafunzi siku ya maadhimisho ya wanawake! Kumbe raisi JK naye alikuwa ndiye mgeni rasmi huko huko Tabora. Amependeza sana na shati lake
http://www.jambonetwork.com/blog/?p=67817
Mkuu wewe jali khamsa zako ama laa utatupwa gizani sasa hivi
kama sijakutumia na mimi ni fisadi unapoipata tunataka habari zaidiOK ndugu yangu uko serious wewe! Email yangu ni masanilo@jamiiforums.com
Mkuu taratibu...naona ujumbe wako japo hauja njooka sana lakini una kamilisha maudhui...hahahaaa ..Nadhani si sharti tu..Ukitazama huenda wakati Vicky anaimba hata katabasamu kazuri kalijitokeza zaidi. Nakumbuka ile mikuano yetu kipindi hicho binti kama yeye keshaandaliwa chumba cha kufikia tokea juzi.
Hahahah mkuu haya mambo acha kama yalivyo! Mkuu wetu naye hachagui fatilia anapoenda JK na VK huenda kutumbuiza, huenda baadaye mzee naye anafanya marufundi in Dark !
Duh! huyo V.k. kumbe ni jamvi la wageni? heh heh heh, yaani sasa anataka kugombea ubunge? hamjui maana yake? anataka akienda bungeni awateke vigogo wote na mifuko yao kwa pamoja kwani wakiwa nje ya bunge wanatawanyika sehemu mbalimbali. tumekwisha! ana uvaaji wake wa mitego mitego sana.
Ila huyu dada alimpelekesha marehemu acha tu mpaka nyimbo zake zikawa hazipigwi clausi!
Marehemu gani tena huyo Roza ?
Hivi mkuu anao wangapi? wa halali na wa haramu, maana ni balaa juu ya blaaa
Tusimponde sana binti wa watu...ni mzuri kiukweli.Wa kulaumiwa ni hao wanaume wanamsumbua binti wetu.Mababa mazima yanaacha nyumba zao muda wote kukasumbua kadada size yetu kabisa,sasa sisi tucheze na nani?
Tujadili na wamama wanaoliwa na ze mkulaji kwa asante ya vyeo.