Vichwa vya habari magazetini kesho

Vichwa vya habari magazetini kesho

hahahah, ni kweli kabisa mkuu, kwani wewe ulimuona akiinua shingo? mimi mwanzo sikumtambua nilidhani UKAWA WAMEWEKA ROBOT BADALA YA LOWASSA

mkuu we hufai kabisa nimecheka kwa sauti hadi wife kaniwasha kofi kwa distarbunce,bila kuinua shingo duh hatar
 
HAHAHAAH sawa mkuu itabidi kipunguzwe tu maana hakuna namna
 
ukapimwe akili wewe sio mzima kama mgombea wako, tumia akili kufikiri, tumia macho kuona..utaona mengi hata usiyopenda kuyaona kama ya ugonjwa wa kutetemeka wa lowasa na mengine mengi tu

Ndoroobo wewe..... nimekuambia hata akifa, CCM haipita, tutamptisha hata mama wa ACT, not CCM! Narudia tena N-D-O-R-O-O-O-O-B-O wewe
 
Back
Top Bottom