Vichwa vya habari magazetini kesho'

Vichwa vya habari magazetini kesho'

Same ORG

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
321
Reaction score
21
VICHWA VYA HABARI VYA KESHO>>>>

Hali ni tete zanzibar,mchungaji mwingine apigwa risasi na kufariki.

Chuki za kidini zaondoa uhai wa mchungaji.

Uamsho wafanya mambo,wahusishwa na kifo cha mchungaji Mushi.

Mauaji ya mchungaji mushi,kuhamasisha hasira za wakristo.

Kanisa lalaani vikali mauaji ya kinyama ya mchungaji Mushi.

Uamsho wafanya mauaji mengine.

Uamsho ni alqaida

Na mengine wataendelea kuokota humu jf.

VICHWA VYA HABARI NA VINGINE VINGI TUVITARAJIE KUVIONA CKU YA KESHO.
HAKUNA DINI ILO HUSIKA NA MAUAJI HAYO KWA HIYO WAANDISHI WA HABARI MSIOJUA TAALUMA YENU VIZUR,TUNAWAPA RUKSA KESHO ANDIKENI UONGO HADI MCHOKE.

Kwa kweli waandishi wa Tanzania ndio janga la mwanzo la taifa hili kama Rwanda.
 
VICHWA VYA HABARI VYA KESHO>>>>

hali ni tete zanzibar,mchungaji mwingine apigwa risasi na kufariki
Chuki za kidini zaondoa uhai wa mchungaji.
Uamsho wafanya mambo,wahusishwa na kifo cha mchungaji mushi.
Mauaji ya mchungaji mushi,kuhamasisha hasira za wakristo.
Kanisa lalaani vikali mauaji ya kinyama ya mchungaji mushi.
Uamsho wafanya mauaji mengine.
Uamsho ni alqaida
Na mengine wataendelea kuokota humu jf.
VICHWA VYA HABARI NA VINGINE VINGI TUVITARAJIE KUVIONA CKU YA KESHO.
HAKUNA DINI ILO HUSIKA NA MAUAJI HAYO KWA HIYO WAANDISHI WA HABARI MSIOJUA TAALUMA YENU VIZUR,TUNAWAPA RUKSA KESHO ANDIKENI UONGO HADI MCHOKE.

Kwa kweli waandishi wa Tanzania ndio janga la mwanzo la taifa hili kama Rwanda.


-Hujatoa mfano wa wewe kwa upande wako ungetaka waandike vipi? walau uweke mifano ya heading 20

-Aliepigwa risasi ni padri naona umekomaa na Mchungaji.
 
Manta Reef is Lodge situated on
the northern tip of Pemba island,
on a lagoon with breathtaking views
over the ocean! It is an one hours
drive from the airport to the lodge.
The rustic, but attractive lodge can
host only up to 30 people in 14
bungalows, and the property offers
an exclusive location off the beaten
track, in a stunning hideaway. The
lodge offers a wide variety of
watersports, and especially keen
divers find here the perfect spot to
explore the underwater world of
Pemba, which is one of the best
diving spots in the world!
There are 2 Honeymoon
bungalows,10 Sea front
bungalows and 2 Garden family
cottages with 2 bedrooms in
each .
 
Manta Reef is Lodge situated on
the northern tip of Pemba island,
on a lagoon with breathtaking views
over the ocean! It is an one hours
drive from the airport to the lodge.
The rustic, but attractive lodge can
host only up to 30 people in 14
bungalows, and the property offers
an exclusive location off the beaten
track, in a stunning hideaway. The
lodge offers a wide variety of
watersports, and especially keen
divers find here the perfect spot to
explore the underwater world of
Pemba, which is one of the best
diving spots in the world!
There are 2 Honeymoon
bungalows,10 Sea front
bungalows and 2 Garden family
cottages with 2 bedrooms in
each .

Ndio umepatia...
 
Mkuu, intelijensia yangu ya ki-JF, inaniambia kwa namna moja au nyingine una maslahi na uhalifu huu, ndiyo maana unajaribu kuvipinga baadhi ya vichwa vya habari kwa magezeti ya TZ kesho.

Binafsi vichwa vya habari havina maana yoyote kuliko kujulikana ukweli wa chanzo cha mauaji na wahusika kukamatwa.
 
VICHWA VYA HABARI VYA KESHO>>>>

hali ni tete zanzibar,mchungaji mwingine apigwa risasi na kufariki
Chuki za kidini zaondoa uhai wa mchungaji.
Uamsho wafanya mambo,wahusishwa na kifo cha mchungaji mushi.
Mauaji ya mchungaji mushi,kuhamasisha hasira za wakristo.
Kanisa lalaani vikali mauaji ya kinyama ya mchungaji mushi.
Uamsho wafanya mauaji mengine.
Uamsho ni alqaida
Na mengine wataendelea kuokota humu jf.
VICHWA VYA HABARI NA VINGINE VINGI TUVITARAJIE KUVIONA CKU YA KESHO.
HAKUNA DINI ILO HUSIKA NA MAUAJI HAYO KWA HIYO WAANDISHI WA HABARI MSIOJUA TAALUMA YENU VIZUR,TUNAWAPA RUKSA KESHO ANDIKENI UONGO HADI MCHOKE.

Kwa kweli waandishi wa Tanzania ndio janga la mwanzo la taifa hili kama Rwanda.


Ukimsikiliza Ustadhi Illunga Hassan
link .
http://www.youtube.com/watch?v=w75cpfJLFaA
Utapata jubu stahiki ya Heading ya Magazeti Kesho na hasa hiyo iliyofanyiwa highlight hapo juu.
 
VICHWA VYA HABARI VYA KESHO>>>>

hali ni tete zanzibar,mchungaji mwingine apigwa risasi na kufariki
Chuki za kidini zaondoa uhai wa mchungaji.
Uamsho wafanya mambo,wahusishwa na kifo cha mchungaji mushi.
Mauaji ya mchungaji mushi,kuhamasisha hasira za wakristo.
Kanisa lalaani vikali mauaji ya kinyama ya mchungaji mushi.
Uamsho wafanya mauaji mengine.
Uamsho ni alqaida
Na mengine wataendelea kuokota humu jf.
VICHWA VYA HABARI NA VINGINE VINGI TUVITARAJIE KUVIONA CKU YA KESHO.
HAKUNA DINI ILO HUSIKA NA MAUAJI HAYO KWA HIYO WAANDISHI WA HABARI MSIOJUA TAALUMA YENU VIZUR,TUNAWAPA RUKSA KESHO ANDIKENI UONGO HADI MCHOKE.

Kwa kweli waandishi wa Tanzania ndio janga la mwanzo la taifa hili kama Rwanda.
Mbona unaanza kuwawekea vichwa vya habari midomoni mwao? Yaelekea wewe mwenyewe hayo ndio mawazo yako. Na umeshafanya upelelezi gani kujiridhisha kuwa hakuna dini iliyohusika wakati tumesikia na kushuhudia waislam wakihamasishwa kuua viongozi wa dini ya kikristo, au wewe haukuwa miongoni mwa waliolengwa kujipatia hiyo tiketi ya kwenda kumwona mola wako kupitia ibada ya kuua mkristo? by the way umetaja Alqaeda na uamsho, kwani hizo ni dini?
 
Mbona unaanza kuwawekea vichwa vya habari midomoni mwao? Yaelekea wewe mwenyewe hayo ndio mawazo yako. Na umeshafanya upelelezi gani kujiridhisha kuwa hakuna dini iliyohusika wakati tumesikia na kushuhudia waislam wakihamasishwa kuua viongozi wa dini ya kikristo, au wewe haukuwa miongoni mwa waliolengwa kujipatia hiyo tiketi ya kwenda kumwona mola wako kupitia ibada ya kuua mkristo? by the way umetaja Alqaeda na uamsho, kwani hizo ni dini?

Ya muembe chai hayakuwa ya udini.
 
mbona unajihami hivyo lazima utakuwa unahusika kwa namna moja au nyingine na mauaji yale,nenda zako huko na chuki zako za kidini ila jua na nyie hamtaishi milele
 
VICHWA VYA HABARI VYA KESHO>>>>

hali ni tete zanzibar,mchungaji mwingine apigwa risasi na kufariki
Chuki za kidini zaondoa uhai wa mchungaji.
Uamsho wafanya mambo,wahusishwa na kifo cha mchungaji mushi.
Mauaji ya mchungaji mushi,kuhamasisha hasira za wakristo.
Kanisa lalaani vikali mauaji ya kinyama ya mchungaji mushi.
Uamsho wafanya mauaji mengine.
Uamsho ni alqaida
Na mengine wataendelea kuokota humu jf.
VICHWA VYA HABARI NA VINGINE VINGI TUVITARAJIE KUVIONA CKU YA KESHO.
HAKUNA DINI ILO HUSIKA NA MAUAJI HAYO KWA HIYO WAANDISHI WA HABARI MSIOJUA TAALUMA YENU VIZUR,TUNAWAPA RUKSA KESHO ANDIKENI UONGO HADI MCHOKE.

Kwa kweli waandishi wa Tanzania ndio janga la mwanzo la taifa hili kama Rwanda.



Magazeti mengine yataandika hivi:
UCHUNGUZI WA MAUAJI YA MCHUNGAJI ZANZIBAR WAENDELEA
POLISI BADO HAIJATOA TAMKO
SERIKALI YAWATAKA WANANCHI KUIACHIA KAZI POLISI
POLISI ZANZIBAR ALIYEMUUA MCHUNGAJI BADO HAJULIKANI
ZANZIBAR KUNA NJAMA ZA KUZUSHA VURUGU
KITENDAWILI MAUAJI YA MCHUNGAJI ZANZIBAR
MAUAJI YA MCHUNAGJI ZANZIBAR NI NJAMA ZA KUWAPAKA MATOPE WAZANZIBAR?
NINI KITAFUATA BAADA YA MAUAJI YA MCHUNGAJI ZANZIBAR?
KUNA WANAOKERWA NA AMANI YA ZANZIBAR?
 
Naona mleta uzi umekaa kiushabiki shabiki sana na kupima upepo.... Kimsingi hili walilolifanya la kumuua padre ni upuuzi mkubwa sana na inaweza kubadili mfumo wa mambo mengi sana kwenye nchi hii....
 
SIMBA YACHAKAZWA NA LIBOLO.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kimsingi muleta mada huna heshina wala nidhamu,inaonesha unaegemea upande mmoja,huna staha na utu wa mtanzania mwenzake.
 
Yaonekana wewe ulitaka wasiandike kabisa! Ndo tabu ya uhuru usio na mipaka, huyu jamaa anaweka humu hoja ya kutojali kuuawa kwa kiongozi wa imani akiwa majukumu yake, halafu anaangaliwa tu.. Jiangalie wewe na hoja zako hizi, wenzako tumempoteza mtu. Roho ya mtu imeondoka hapa.
 
Back
Top Bottom