Kama ilivyotarajiwa timu za daraja la kwanza, Pamba na Geita Gold zimebaki kule kule baada ya kuvuja jasho na damu ili zipande Ligi Kuu, matokeo yake ukabuniwa mtindo sijui wa wapi eti play-off na timu zilizoshuka Ligi Kuu!!!!! Mwisho wa siku zile za Ligi Kuu zimerudi huko huko badala ya kushuka. TIFUTIFU nyambavu kabisa hii.