Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,840
Natanguliza samahani kwa wale ambao nitakuwa nimewakwaza jana,lakini ndugu zangu,Tupo kwajili ya kufahamishana tu sio ugomvi wala kashfa,kwani najua mtu akishajua mapungufu yake anajua jinsi ya kutafuta suluhisho.
Nawaheshimu sana kaka zangu,baba zangu,wadogo zangu wote humu JF,Tusambaze upendo.MBARIKIWE.
Back to our main issue:
Jamani jamani jamani,tuko faragha, mwanaume unataka upewe raha zote za dunia,na faragha ni sehemu tofauti na sehemu yoyote,nahitaji watu kujiacha na kujimwaga kwa kila aina lakini kumbe sehemu nyingine majanga hata kuisogelea unawaza na mud inatoka.Unakuta ndugu honey kafuga msitu mkubwa wa kuka chatu na wajukuu zake,
Wanaume kwanini mnakuwaga wavivu wa kusafisha mazingira ya bwana mkuu?(kunyoa mazivu) unataka kumlisha mwenzio majani na taka taka nyingine jamani kweli?
Eti cha ajabu mnakumbuka kutoa ndevu na nywele kila baada ya siku kadhaa lakini zivu na makwapa,ni vichaka vya hatari.
Tunajua mnakuwa busy na majukumu, tunajua mnapitiwa,wewe uliyeoa mkumbushe basi mkeo akusaidie maana si wake wote wanajua wajibu wao,
Wewe unayejiita bachela,jitahidi kuweka hata ratiba au maandishi ukutani ukumbuke kujinyoa sio mnakuja kutulalamikia hapa,eti demu gani hajui mapenzi,hajui kunyonya, anyonye miuchafu hiyo?
Najua mtarudisha kibao kwa wanawake pia mkumbuke nyie mmezidi tena ukutane na mwanaume hata kapafyumu hakajui,saaalaaaleeee boxer uvundo uvundooo.
Kwakweli inasikitisha
JITAHIDINI USAFIIII BWANA
Nawaheshimu sana kaka zangu,baba zangu,wadogo zangu wote humu JF,Tusambaze upendo.MBARIKIWE.
Back to our main issue:
Jamani jamani jamani,tuko faragha, mwanaume unataka upewe raha zote za dunia,na faragha ni sehemu tofauti na sehemu yoyote,nahitaji watu kujiacha na kujimwaga kwa kila aina lakini kumbe sehemu nyingine majanga hata kuisogelea unawaza na mud inatoka.Unakuta ndugu honey kafuga msitu mkubwa wa kuka chatu na wajukuu zake,
Wanaume kwanini mnakuwaga wavivu wa kusafisha mazingira ya bwana mkuu?(kunyoa mazivu) unataka kumlisha mwenzio majani na taka taka nyingine jamani kweli?
Eti cha ajabu mnakumbuka kutoa ndevu na nywele kila baada ya siku kadhaa lakini zivu na makwapa,ni vichaka vya hatari.
Tunajua mnakuwa busy na majukumu, tunajua mnapitiwa,wewe uliyeoa mkumbushe basi mkeo akusaidie maana si wake wote wanajua wajibu wao,
Wewe unayejiita bachela,jitahidi kuweka hata ratiba au maandishi ukutani ukumbuke kujinyoa sio mnakuja kutulalamikia hapa,eti demu gani hajui mapenzi,hajui kunyonya, anyonye miuchafu hiyo?
Najua mtarudisha kibao kwa wanawake pia mkumbuke nyie mmezidi tena ukutane na mwanaume hata kapafyumu hakajui,saaalaaaleeee boxer uvundo uvundooo.
Kwakweli inasikitisha
JITAHIDINI USAFIIII BWANA