Vichaa watoroka

cc_africa

Senior Member
Joined
May 30, 2010
Posts
121
Reaction score
2
Wendawazimu walipanga kutoroka hospitali lakini kukawa kuna mlinzi,wakapanga wampige kisha wachukue funguo wafungue wakimbie,walipofika mlangoni mlinzi hayuko na mlango uko wazi wakasema 'aah dili imefeli' wakarudi!
 
Ha ha ha haaa...!!! Hao vichaa ni wabongo, bisha!
 
Khaaa ! Hii style ya copy & paste imezid ngoja niongee na mod tuanze kutoa adhabu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…