Vibarua wanahitajilka Dar es salaam

Vibarua wanahitajilka Dar es salaam

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,556
Reaction score
57,855
nimeichukua kama ilivyo

vibarua wa mikataba mifupi mifupi wanahitajika kufanya kazi ya shoe shine Dar es salaam

wahitimu wote wa level mbali mbali za shule vyuo watume maombi yao kupitia email; mogenius5@gmail.com

wasichana wanapewa kipaumbele zaidi kama upo Dar es salaam itakuwa rahisi pia compunI kukupa nafasi

yeyote mwenye uhitaji wa kazi hii ya shoe shine piga simu 0769080367 maelezo zaidi au tuma maombi yako kupitia email hapo juu.

kumbuka kazi hii inahitaji watu ambao ni self motivated and hard working youth kuanzia umri wa miaka 18-35.

asantee.
 
Hongereni kama mmeweza kufungua kiwanda cha shoe shine! Zile kaki kakikaki za shoe shine alizoamrisha mkulu kwa matrafiki mtazitafuna nyie! Ila mnatakiwa kuwa na Brashi zisizopungua tatu ili msajiliwe!
 
Sh
nimeichukua kama ilivyo

vibarua wa mikataba mifupi mifupi wanahitajika kufanya kazi ya shoe shine Dar es salaam

wahitimu wote wa level mbali mbali za shule vyuo watume maombi yao kupitia email; mogenius5@gmail.com

wasichana wanapewa kipaumbele zaidi kama upo Dar es salaam itakuwa rahisi pia compunI kukupa nafasi

yeyote mwenye uhitaji wa kazi hii ya shoe shine piga simu 0769080367 maelezo zaidi au tuma maombi yako kupitia email hapo juu.

kumbuka kazi hii inahitaji watu ambao ni self motivated and hard working youth kuanzia umri wa miaka 18-35.

asantee.
duh,shoe shine hii ya viatu au nimeelewa tofauti
 
Jamaa yangu wewe unatania maisha ya watu wasio na kazi. Basi hauta enda Mbinguni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom