BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,257
Nilikuwa na jamaa zangu walikuwa wanakuja kuonesha bidhaa zao toka Dubai, walikuwa wanawalipa vizuri sana vibarua wao. Bahati mbaya nilipotezana nao!
Lakini mtu ukitaka kazi 7 7 ni vizuri ukaenda pale direct kuliko kuulizia huku unabadili station za t.v. nyumbani
Lakini mtu ukitaka kazi 7 7 ni vizuri ukaenda pale direct kuliko kuulizia huku unabadili station za t.v. nyumbani