Hivi ni halali kweli tukisema kuwa tunapambana na ukimwi huku tukiachia ujasiriamal wa kuuza miili ushike kasi? Vile vibanda hodi vya akina mama wanaojiuza vinavyoitwa vya Wahaya hatuvioni?
Nasikia wanakusanya pesa nyingi sana. Vile vibanda vyao wanalipa kodi ya kibiashara hadi laki moja kwa mwezi.
Hivi ni halali kweli tukisema kuwa tunapambana na ukimwi huku tukiachia ujasiriamal wa kuuza miili ushike kasi? Vile vibanda hodi vya akina mama wanaojiuza vinavyoitwa vya Wahaya hatuvioni?
...kama hao wanajulika kuwa si tatizo! "tatizo kama unge kuwa hujui kama wanafanya biashara hiyo...!
"pabaya na pa-hatari zaidi ni; IFM, CBE, UDSM, UDOM... n.k"
'IKIFIKA JIONI WANACHUKULIWA NA WANARUDISHWA ASUBUHI'
Wateja ni ninyi wanaume,pindi mtakapo acha kwenda biashara hizo zitafungwa,Nyie ndo mmekuwa chachu ya kukua kwa biashara hiyo.
kinachotufanya twende huko ni nyie wanawake. unakuta mtu anamke. usiku anaomba uroda anaambiwa nimechoka au tumbo linaniuma. TUMBO LINAUMA AKIWA KITANDANI TU. cku ukipewa uroda unapewa juujuu. inatulazimu tuchelewe mjini. tuchukue pale CBE .tupewe utoda wa hali ya juu na ss turudi tumechoka. WANAWAKE WALIOOLEWA NDIO CHANZO. MA BACHELA HUWA HAWAFUATI MA.LA.YA. ni cc tuliooa
Hivi ni halali kweli tukisema kuwa tunapambana na ukimwi huku tukiachia ujasiriamal Vile vibanda hodi vya akina mama wanaojiuza vinavyoitwa vya Wahaya?
...kama hao wanajulika kuwa si tatizo! "tatizo kama unge kuwa hujui kama wanafanya biashara hiyo...!
"pabaya na pa-hatari zaidi ni; IFM, CBE, UDSM, UDOM... n.k"
'IKIFIKA JIONI WANACHUKULIWA NA WANARUDISHWA ASUBUHI'
Hilo liko wazi kama unataka niambie nipo Karibu na Mabibo hostel wewe tu ila uwe na gari au hela ya taxUshawah wachukua au na wewe huwa unasimuliwa tu kisa umeambiwa ni wanachuo
kinachotufanya twende huko ni nyie wanawake. unakuta mtu anamke. usiku anaomba uroda anaambiwa nimechoka au tumbo linaniuma. TUMBO LINAUMA AKIWA KITANDANI TU. cku ukipewa uroda unapewa juujuu. inatulazimu tuchelewe mjini. tuchukue pale CBE .tupewe utoda wa hali ya juu na ss turudi tumechoka. WANAWAKE WALIOOLEWA NDIO CHANZO. MA BACHELA HUWA HAWAFUATI MA.LA.YA. ni cc tuliooa