Vibaka wampora pochi Mwalimu

Vibaka wampora pochi Mwalimu

zaratustra

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
848
Reaction score
225
Wakuu baada ya kazi ngumu za wiki nzima, habu tufurahie weekend kwa hii: Kibaka akieleza mambo yaliyokuwa kwenye pochi ya mwalimu aliyempora: 1. Majina ya wapiga kelele darasani 2. Vipeperushi vya migomo 3. Marking Scheme 4. Jumla ya madeni anayodaiwa 5. Andalio la somo 6. Majina ya watoto waliowahi namba 7. Sh. 500 ya nauli 8. Majina ya waliokopa bagia Kibaka aliapa hatarudia kumpora mwalimu!! Weekend njema wakuu!
 
Yes, this is hw its. Milking a bully what do u expect to get?
 
you are abusing our teachers......................................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom