Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 458
Hizi hotel zetu bongo zina matatizo gani?
Chakula wananunua kwenye local markets lakini unauziwa vikiwa na majina ya Kifaransa na Kingereza, ukihoji wanasema ni kwaajili ya kuvutia na kuelewesha watalii!
Hivi wewe ulipoenda China au US kama mtalii ulikuta menu zao zimeandikwa Kiswahili? Maana na wewe kule ni mtalii!
Sasa kwanini viazi walivyonunua Kariakoo waviite "French fries"?
Chakula wananunua kwenye local markets lakini unauziwa vikiwa na majina ya Kifaransa na Kingereza, ukihoji wanasema ni kwaajili ya kuvutia na kuelewesha watalii!
Hivi wewe ulipoenda China au US kama mtalii ulikuta menu zao zimeandikwa Kiswahili? Maana na wewe kule ni mtalii!
Sasa kwanini viazi walivyonunua Kariakoo waviite "French fries"?