Viatu vya kiume vinauzwa

richenriques

Senior Member
Joined
Jun 6, 2015
Posts
188
Reaction score
33
Wewe ni mpenzi wa boots nzuri, zenye viwango vizuri katika muonekano wake?? Bhas hii si ya kukosa... Boots nzuri size 43 kwa 60,000/=.. Zipo rangi ya blue.. Zimebaki pair mbili tu... Kwa anaehitaji seriously aweke namba au ani pm

 
utakuwa hauko serious wewe!!! Pea mbili ndani ya JF? Lipia basi tangazo!!!!
 
Viatu vipya kabisa vya kiume, size 43,rangi ya blue vinauzwa 60,000 kwa mteja serious awekw namba au ani pm
 
Itakuwa katumiwa na shemeji yake kutoka majuu. Halafu huyu jamaa ni Mwanafunzi.
hahahaha umeona deka la chuma pembeni pale mkuu...kweli mashemeji wanakamua dadazetu majuu afu wanatutumia viatu....badala ya kutuma gari ,,unatumiwa TZ 11
 
hahahaha umeona deka la chuma pembeni pale mkuu...kweli mashemeji wanakamua dadazetu majuu afu wanatutumia viatu....badala ya kutuma gari ,,unatumiwa TZ 11
Halafu mwishowe hivyo viatu anaishia kuviuza badala ya kuvivaa ili akahonge na kuendea Club.
 
Jerks can you please mind your own piece of shits.kma mama zenu ndyo wanavyoish then pole zenu, hamnijui so stop acting like you know me... Nyie ndyo mashoga mnaosumbua watu... Sio sheria kila kinachopostiw a humu ucomment....
 
Hivyo viatu ni vya walamba ulimi na wavaa vijinzi vya kubana.
 
Halafu mwishowe hivyo viatu anaishia kuviuza badala ya kuvivaa ili akahonge na kuendea Club.
umeona kanavyo comment apo juu..kama kinachati na masharo uhoro wenzie wakikutana september kusapua
 
Viatu vya masharobaro hivi.peleka tangaxo instagram au facebook. Huku ni wavaa ngwasuma na kumchoma kumoyo,travolta, vitu kama gucci, claks, da vinci.
Hahuna mbana mapaja na hips au suruali zenye viraku humu. Au subiri juni ifike wakusoma watakuwa jukwaani kipindi cha likizo tyme
 
Hahaaha kapotea njia hapa
 
Jerks can you please mind your own piece of shits.kma mama zenu ndyo wanavyoish then pole zenu, hamnijui so stop acting like you know me... Nyie ndyo mashoga mnaosumbua watu... Sio sheria kila kinachopostiw a humu ucomment....
Soma wewe acha utoto,au ndio nyie Wazee wa 2.0?
 
Sasa hizo boots ziko wapi?nikajua nakutana na earth keeper kumbe hayo supra ya mabitozi
 
Sasa hizo boots ziko wapi?nikajua nakutana na earth keeper kumbe hayo supra ya mabitozi
mkuu hapa hamna cha mambo yetu yale ya site wala nini..wala caterpillar zile genuine..apa ni vya wakina lamba ulimi..lol
 
Kamepanic balaaa na viatu vyake vya club c uvae tu kama ulivo tumiwa Ku uza tena vipi acheni njaa nyie wanafunzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…