Hivi viatu vilivyovaliwa Mwaka jana ama ni vikubwa sana kwa mvaaji kiasi kwamba akitembea anadhani kila anayeongea anamsema yeye kwa hiyo anazuia fursa za watu kujieleza au vinambana sana anahangaika anaona kila anayetaka kuongea atamsema yeye alinavyoangaika au labda viatu viliibwa akapewa kwa hiyo anaona swala litabumburuka........embu ongezeeni kuhusu hili swala manake viatu waling'ang'ania wengi kapata yeye anachoogopa ni nini?