Uchaguzi 2020 Viapo vya mawakala

Papa1

JF-Expert Member
Apr 21, 2012
2,017
2,208
Kesho ndio siku ya kuapishwa mawakala wa vyama katika uchaguzi mkuu.

Tukumbuke kuwa wakala anaapa halafu anaondoka bila utambulisho wowote, yaani anaondoka kama mimi na wewe!

Eti wakala anaenda mikono mitupu kituo cha kupigia kura eti kujitambulisha kwa msimamizi wa uchaguzi ndio apewe barua ya uwakala?

Msimamizi wa uchaguzi atamtambuaje kama huyu ndiye yule aliyeapishwa?

Kwanza msimamizi wa uchaguzi atamuomba kitambulisho cha uraia au leseni ya udereva au pasi ya kusafiria ili atambue kuwa ni yeye -
1) Holaa, hana! anamkataa, anasema nitajuaje kama ni wewe! Mzozo unaanza! Anatolewa

2) Kama anavyo vitambulisho vitamulikwa kwa darubini kuhakikisha havitofautiana hata kidogo mpangilio wa majina au spelling ya jina. Kama kuna tofauti yoyote msimamizi anamkataa. Mzozo unaanza! Afande anapapasa AK47, wakala anatolewa!

Lengo la haya yote ni kuwachelewesha mawakala kuingia vituoni.

Simu zitapigwa weeee, mawakala wakija kukubalika ni baada ya masaa, hapo ujue kura bandia kibao zitakuwa zimeisha penyezwa.

Yaani CCM ni shiiiidaaaa!
Natabiri mzozo mkubwa mwanzo kabisa mwa kupiga kura.

TAHADHARI:

1). HAKIKISHA MWAKALA WANA VITAMBULISHO

2. HAKIKISHA MAJINA YA MAWAKALA MNAYOPELE KWA TUME YANAFANANA KWA MPANGILIO NA SPELLING KAMA VITAMBULISHO WALIVYONAVYO.

3). MAWAKALA MSIJESAHAU VITAMBULISHO VYENU IWE LESENI, PASPOTI, VYA NIDA, AU CHA KUPIGIA KURA, vinginevyo utatupiliwa mbali

Huo ni mtazamo wangu! We unasemaje!
 
Kesho ndio siku ya kuapishwa mawakala wa vyama katika uchaguzi mkuu.

Tukumbuke kuwa wakala anaapa halafu anaondoka bila utambulisho wowote, yaani anaondoka kama mimi na wewe!

Eti wakala anaenda mikono mitupu kituo cha kupigia kura eti kujitambulisha kwa msimamizi wa uchaguzi ndio apewe barua ya uwakala?

Msimamizi wa uchaguzi atamtambuaje kama huyu ndiye yule aliyeapishwa?

Kwanza msimamizi wa uchaguzi atamuomba kitambulisho cha uraia au leseni ya udereva au pasi ya kusafiria ili atambue kuwa ni yeye -
1) Holaa, hana! anamkataa, anasema nitajuaje kama ni wewe! Mzozo unaanza! Anatolewa

2) Kama anavyo vitambulisho vitamulikwa kwa darubini kuhakikisha havitofautiana hata kidogo mpangilio wa majina au spelling ya jina. Kama kuna tofauti yoyote msimamizi anamkataa. Mzozo unaanza! Afande anapapasa AK47, wakala anatolewa!

Lengo la haya yote ni kuwachelewesha mawakala kuingia vituoni.

Simu zitapigwa weeee, mawakala wakija kukubalika ni baada ya masaa, hapo ujue kura bandia kibao zitakuwa zimeisha penyezwa.

Yaani CCM ni shiiiidaaaa!
Natabiri mzozo mkubwa mwanzo kabisa mwa kupiga kura.

TAHADHARI:

1). HAKIKISHA MWAKALA WANA VITAMBULISHO

2. HAKIKISHA MAJINA YA MAWAKALA MNAYOPELE KWA TUME YANAFANANA KWA MPANGILIO NA SPELLING KAMA VITAMBULISHO WALIVYONAVYO.

3). MAWAKALA MSIJESAHAU VITAMBULISHO VYENU IWE LESENI, PASPOTI, VYA NIDA, AU CHA KUPIGIA KURA, vinginevyo utatupiliwa mbali

Huo ni mtazamo wangu! We unasemaje!
Asante. Nakumbusha pia suala la wasimamizi kuwapangia mawakala vituo. Chadema viongozi hakikisheni mawakala wanapangwa mapema (sio last minute), maana watafanya figisu ya kumpanga wakala kituo cha mbali ambapo au atachelews au kushindwa kabisa kufika.
 
Kesho ndio siku ya kuapishwa mawakala wa vyama katika uchaguzi mkuu.

Tukumbuke kuwa wakala anaapa halafu anaondoka bila utambulisho wowote, yaani anaondoka kama mimi na wewe!

Eti wakala anaenda mikono mitupu kituo cha kupigia kura eti kujitambulisha kwa msimamizi wa uchaguzi ndio apewe barua ya uwakala?

Msimamizi wa uchaguzi atamtambuaje kama huyu ndiye yule aliyeapishwa?

Kwanza msimamizi wa uchaguzi atamuomba kitambulisho cha uraia au leseni ya udereva au pasi ya kusafiria ili atambue kuwa ni yeye -
1) Holaa, hana! anamkataa, anasema nitajuaje kama ni wewe! Mzozo unaanza! Anatolewa

2) Kama anavyo vitambulisho vitamulikwa kwa darubini kuhakikisha havitofautiana hata kidogo mpangilio wa majina au spelling ya jina. Kama kuna tofauti yoyote msimamizi anamkataa. Mzozo unaanza! Afande anapapasa AK47, wakala anatolewa!

Lengo la haya yote ni kuwachelewesha mawakala kuingia vituoni.

Simu zitapigwa weeee, mawakala wakija kukubalika ni baada ya masaa, hapo ujue kura bandia kibao zitakuwa zimeisha penyezwa.

Yaani CCM ni shiiiidaaaa!
Natabiri mzozo mkubwa mwanzo kabisa mwa kupiga kura.

TAHADHARI:

1). HAKIKISHA MWAKALA WANA VITAMBULISHO

2. HAKIKISHA MAJINA YA MAWAKALA MNAYOPELE KWA TUME YANAFANANA KWA MPANGILIO NA SPELLING KAMA VITAMBULISHO WALIVYONAVYO.

3). MAWAKALA MSIJESAHAU VITAMBULISHO VYENU IWE LESENI, PASPOTI, VYA NIDA, AU CHA KUPIGIA KURA, vinginevyo utatupiliwa mbali

Huo ni mtazamo wangu! We unasemaje!
Hivi inakuwaje mtu hajui mpangilio wa majina yake halafu unamlaumu msimamizi wakati yeye anasimamia sheria? Wakala wako akiboronga wewe lia na wakala wako uliyemteua mwenyewe usilaumu tume.
 
Nakala za matokeo ni lazima, busipotoshe.
Kanuni 63(2) ya Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa JMT inatamka bayana kuwa mawakala wa vyama vya siasa watapewa form ya matokeo ya uchaguzi vituoni (form namba 20) ‘iwapo kutakuwepo nakala za kutosha’.

Umeona shida ilipo mkuu? Kwa nini waseme iwapo kutakuwepo nakala za kutosha? Ni kipi hakijulikani ? Kwamba idadi ya vyama + idadi ya mawakala wanaohitajika * idadi ya jumla ya vituo haijulikani ?
 
This is just a big joke. Watu wanaodhamiria uchaguzi huru na wa haki, hawafanyi utaratibu kama huu. Huu ni mpango wa makusudi kabisa wa kunyima vyama fulani uwepo wa mawakala katika vituo vya kupigia kura. Inaonyesha wazi kuwa CCM haitatoka madarakani kwa utaratibu wa kistaarabu wa kura. Inabidi njia nyingine itumike.
 
Hawa watu waliambiwa na UNDP wapewe pesa ya uchaguzi lakini wakakataa. Sasa wanaongelea fomu "kama hazitoshi"... Wametufanya nchi ya wajinga.
Kanuni 63(2) ya Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa JMT inatamka bayana kuwa mawakala wa vyama vya siasa watapewa form ya matokeo ya uchaguzi vituoni (form namba 20) ‘iwapo kutakuwepo nakala za kutosha’.

Umeona shida ilipo mkuu? Kwa nini waseme iwapo kutakuwepo nakala za kutosha? Ni kipi hakijulikani ? Kwamba idadi ya vyama + idadi ya mawakala wanaohitajika * idadi ya jumla ya vituo haijulikani ?
 
Mimi kwa uelewa wangu tunapewa barua ya chama na inapelekwa kwa mkurugenzi inathibitishwa ili kuwa wakala wa chama fulani. Sasa nasikia mawakala wataenda kuapishwa kwa mtendaj kata. Mwenye uelewa anifahamishe
 
Yote hayo ni kumlinda bwana bichwa kubwa!Tume bhana
1583840766_1583840766-picsay.jpg
 
Hivi inakuwaje mtu hajui mpangilio wa majina yake halafu unamlaumu msimamizi wakati yeye anasimamia sheria? Wakala wako akiboronga wewe lia na wakala wako uliyemteua mwenyewe usilaumu tume.
No!Kitakachotokea ni kwamba tume watakosea makusudi jina kwenye form halafu wakala akifika kituoni ataambiwa aliopo kwenye form siyo yeye!
 
Back
Top Bottom