Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
Wataalam wa magari,naomba kujua kati ya gari hizo ipi nzuri kwenye utumiaji wa mafuta,comfortability barabarani nk. Nazipenda zote ila nafikiria kununua moja wapo. Ushauri wenu utasababisha nifanye uamuzi mzuri.
Yote ni magari ya wanawake....
Labda jina "Brevis" linaweza kukusitiri kama wewe ni kidume.
Yote ni magari ya wanawake....
Labda jina "Brevis" linaweza kukusitiri kama wewe ni kidume.
Yote ni magari ya wanawake....
Labda jina "Brevis" linaweza kukusitiri kama wewe ni kidume.
Aisee! Gari za kiume ni zipi?
Hizo zote ni gari moja tu hayo ni majina tu ya ubatizo na muundo wa bodi tu hakuna jipya.
Mimi nasubidili mwaka 2030 Toyota watatoa gari ambazo kwenye foleni zitakuwa zinapaa kama ndege. Hili ndio jipya.
TANMO acha ukolofi bhana magari ya wanawake gani na VITS ni za nani sasa
Aisee! Gari za kiume ni zipi?
TANMO acha ukolofi bhana magari ya wanawake gani na VITS ni za nani sasa
Inabidi anunue korando ndio gari ya kiume.........
Brevis ina mziki mzuri an bt fuel consumption verossa INA nafuu
Prado,noah,range nk
Hivi wewe wa wapi? Ununuwe gari kwa kigezo cha music wakati car accesories zipo kibao mjini na radio waweza badili ukaweka uitakayo.