J Mbungi JF-Expert Member Joined Nov 23, 2010 Posts 269 Reaction score 74 Jul 21, 2016 #1 Ndo kwanza imetua Zanzibar toka Dubai. Automatic gear. Ina viwango kama unavyoiona kwenye picha. IPO ZANZIBAR. Nahitaji million 9 tu! Tuwasiliane kwa namba (+255 762 466 293) Attachments IMG-20160720-WA0020.jpg 113.3 KB · Views: 65 IMG-20160720-WA0025.jpg 85.6 KB · Views: 53 IMG-20160720-WA0024.jpg 106.7 KB · Views: 60 IMG-20160720-WA0022.jpg 115.4 KB · Views: 60
Ndo kwanza imetua Zanzibar toka Dubai. Automatic gear. Ina viwango kama unavyoiona kwenye picha. IPO ZANZIBAR. Nahitaji million 9 tu! Tuwasiliane kwa namba (+255 762 466 293)
Abuu Kauthar JF-Expert Member Joined Jul 10, 2011 Posts 4,505 Reaction score 6,903 Jul 21, 2016 #2 Hiyo rangi mmhh
Mustaphagentleman JF-Expert Member Joined Jun 22, 2016 Posts 3,953 Reaction score 3,032 Jul 21, 2016 #3 Nzur sasa mpaka ikafike Dar nije Kusajil upya gharma c itazid
Mustaphagentleman JF-Expert Member Joined Jun 22, 2016 Posts 3,953 Reaction score 3,032 Jul 21, 2016 #4 Hujasema ina Cc Ngap na ni ya mwaka gani
baz kaiza JF-Expert Member Joined Jan 27, 2015 Posts 13,922 Reaction score 16,548 Jul 21, 2016 #5 Used lakini mpya kua sirihas
Kurutamjanja JF-Expert Member Joined Nov 21, 2013 Posts 396 Reaction score 377 Jul 21, 2016 #6 Tutafahamiana tu
Philipo D. Ruzige JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 9,429 Reaction score 27,131 Jul 21, 2016 #7 Khaaaa kuna kitu NI USED KIPYA????? kua serious
Mustaphagentleman JF-Expert Member Joined Jun 22, 2016 Posts 3,953 Reaction score 3,032 Jul 21, 2016 #8 Ukiuza gar lazma utaje Cc Ngap Mwaka gan
Fekifeki JF-Expert Member Joined Nov 18, 2011 Posts 1,539 Reaction score 688 Jul 21, 2016 #9 Mpaka ije ifike huku Mbeya ilishazidi 19m! Bora niende show room