Ventilation on MCC move is primed on wrong assumptions

mufuruki mwenye mwizi na tapeli mkubwa kapata fedha za dili dili tu
Hawa Ndio wasomi watu, kazi kupamba mabepari.
Muda mwingi wameishi ulaya.
Ndio ma agents wa wakoloni.
Wanaeleweka.
 

Funny.

How can you discuss without answering the first topic?

Above sentences are grammatically correct to the dot.

Collocation is simply a sub type of phraseme which is lacking in my post. How can it be a subject for correction?

Think before you bark.
 
Masikini Mufuruki. Umeandika vizuri lakini hoja yako haikujengeka kwenye ukweli kwamba Ikulu na Wizara ya Nje hawakujua uamuzi ambao ungetolewa na marekani kwenye msaada wa mcc. Ilijulikana lakini mtu akitaka kuwa mbabe utawezaje kumzuia? Suala la Zanzibar ni la kikatiba/kisheria. Isitoshe mazungumzo yalikuwa yanafanyika hadi cuf waliposusa kwa madai ya kutoona tija yake. Nani alaumiwe kwa hilo.

Nakubaliana na hoja kwamba sakata la mcc halitakuwa mwisho wa ushirikiano na marekani. Lakini sikubaliani naye kwamba Wana diplomasia wetu waanze kipigana vikumbo kwa safari za Washington. Ni busara kuvuta subira kidogo ili tuelewe mwelekeo wa upepo.

mwisho, kama taifa inabidi kujitambua badala kufanya pupa ya kukumbatia wakubwa hawa. Tusisahau walitushinikiza kukumbatia uchumi huria kabla ya kujipanga vizuri na Matokeo yake ikawa holela na bila mwelekeo. Mzee Mufuruki tunaanza kutoka huko, badala ya kutafuta wachawi tuanze kujielekeza namna tutakavyopunguza utegemezi bila kujali ni marekani au china.
 
[/QUOTE="YEHODAYA, post: 15749415, member: 315573"]Mufuruki anaongea kama kibaraka wa MCC.

CUF walishiriki uchaguzi wa marudio na wakapata kura chache.CCM ikashinda.Utaongeaje na mtu aliyeshindwa sanduku la kura?

CUF walishindwa kwenye uchaguzi wa matokeo yaliyotangazwa na tume YA UCHAGUZI.[/QUOTE]

Mpuuzi mkubwa ww shnzi type
 
Ni kweli kabisa uchaguzi wa Zanzibar sio suala La Muungano,Kwa nini majeshi ya Tanganyika yanaenda kusimamia uchaguzi Zenji? Naomba ufafanuzi kwa anaejua juu ya hili
 
What you call smart diplomacy actually is saying yes to whatever the emperialists are demanding from us! I say NO to what you refer to as smart diplomacy! I prefer reciprocal diplomacy which is based on mutual respect!
 

Achana na kiingereza kibovu! Andika kiswahili siyo kosa na kiingereza siyo ufahamu. Angalia ulichoandika tena. You are still very wrong!
You wrote;
Above sentences are grammatically correct to the dot
write;
The above sentences are grammatically correct to the dot
 

Poor you, my sentences were neither majestic nor singular or rather adjectives to qualify the the to be used.

I dream in English, do you?
 
Poor you, my sentences were neither majestic nor singular or rather adjectives to qualify the the to be used.

I dream in English, do you?
I dream in English = Naota kwa kiingereza
Rubbish!
 
wewe unaona upungufu wa Mahiga unashindwa kuona huo ujinga uliosababisha haya yote..una maana gani, wala Mahiga hana tatizo, walaumu walioleta upuuzi huu! wewe unataka wakosee wengine halafu wabebe mzigo wa kujisafisha wengine..yaani unajali saaaana kuzurura kujisafisha badala ya kuzuia huo upuuzi ili huo muda wa kuzurura Mahiga afanye mambo mengine ya maana, taifa la miaka zaidi ya 50 lkn tunafanya mambo kama tumepata uhuru juzi, miaka 50 ni ya mtu mzima huwezi kufanya ujinga kama huu wa kuharibu matokeo ya uchaguzi halafu unalazimisha uchaguzi urudiwe..! tha's childish and stupidity!!!
 
Mangapi hayapo kwenye katiba lakini yanafanyika? Unaishi Serengeti National Park umeambukizwa akili za nyumbu?
 
Maelezo ya mzee Mufuruki yamekaa vizuri na hata wewe mwenyewe nimekupata vizuri sina hakika na wale poyoyo wa buku saba maana wao huwa hawashirikishi ubongo kwenye hoja kama hizi.Nilimsikiliza Magu akisema ''misaada ina masharti mtu anakupa msaada halafu anakwambia usikohoe,ifike mahali tujitegee Mungu katupa kila kitu''Mugabe ndio mfano wetu mzuri kabisa ni kweli wachina wao kama walivyofanya kwake watafanya hata kwetu walimbeba sana Mugabe lakini wapi Mzungu Mzungu tu,amechemka Zimbambwe haina hata pesa yake thamani yake kwishnei na maisha yamekuwa magumu kupindukia.Kitu gani kinaanza ndio ufikie lengo la kujitegemea??Viongozi wetu wanasema tulijua watatunyima hivyo zile fedha hatukuziweka kwenye mipango ya maendeleo wananchi msiwe na wasiwasi hali itakaa sawa tutatafuta namna ya kujazia hilo pengo Japani na Wachina wapo wamekubali kutusaidia.A complex world Nyerere na mkonge wake aliwaletea jeuri wakaua zao hilo akaishia kusoma namba.KUKURUPUKA KUNA ATHARI KUBWA SANA SI KWA TAIFA TU HATA KUANZIA NGAZI YA FAMILIA.
 
..

My take:
serikali kuwakorofisha international partners, na sasa kui-disappoint hata business community (a key source of tax revenue) ndiyo mwanzo wa kutengeneza lile anguko kuu.
i only pray kuwa hatuta-end up kuwa DRC nyingine!
Tutabadilisha sera zetu za masuala ya Uchumi na Maendeleo na zile za mahusiano na matifa, ama jumuhiya za Kimataifa.

1.Tutahakikisha tunafanya biashara wenyewe.
2.Tutabadilisha utaratibu wa misaada....!Kama wahisani wana nia njema, Tutataka tusaidiwe kupunguziwa deni laTaifa kwa kufuta kiasi kikubwa cha deni hilo...wasitupe ela tena, Kama hawataki kupunguza deni basi watulie kwa miaka kadhaa tuzichange...Mbona sisi makampuni yao tunawapa 'grace period' kabla ya kutozwa kodi?
3.Tunahakisha yeyote aliyesomeshashwa na serikali toka tupate uhuru anahusika moja kwa moja kuhakikisha TUNAJITEGEMEA (Tanzania) ikibidi tutumie nguvu kutimiza hili. Kuna wimbi kubwa la watu walikimbia kiusaidia serikali baada ya kusomeshwa.....!Tutawa'track'
===============
M-mbabe....sasa wewe mbabe gani unaogopa kujitegemea? (Nimechomekea hili)
 
Ni vizuri tujuwe sheria zipo kwa ajiri ya watu na si watu kwa ajiri ya sheria. Swala la Zanzibar ni pana na madhara yake ni zaidi ya tuyaongeleavyo kishabiki. Huwezi kuhubiri maendeleo huku ukipigana kuweka amani ilindwayo na dola.
 
Sawa wengine tunamuunga mkono JPM lakini suala la Zanzibar ni mwiba. Lazima itafutwe namna ya kuwashirikisha CUF kwenye serikali ya umoja.
Ni mtihani mzito kwa Magufuli. Kikwete hakufanya vyema kwenye hilo.
Vipi wewe suala ni kuwapa CUF ushindi wao. Na CCM ndio wawe washiriki hapo!

Sent from my SM-G920W8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu dunia nzima iliishabow kwa western rythm....gorbachov alimalizia kule russia
 
Lakini mbona uchaguzi wa zanzibar unamhusu January Makamba? Akiwa kama waziri wa JMT ,kumbuka yeye sio mzanzibari, alikwenda kusimamia uchaguzi wa marudio. Wacha unafiki wako wa kijinga jinga.


Sent from my SM-G920W8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu dunia nzima iliishabow kwa western rythm....gorbachov alimalizia kule russia
Hata Roman empire ilikuwa hivyo, but the end is near. It may take ten or more years, but for sure The USA hegemenony will come to an end.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…